Umeonae, halafu PINDA atajiuzulu vipi kwa sababu eti kwa sababu tu LOWSSA. ni ujinga tukama lowasa alijizuru shauri yake pinda hajiuzuru ng'ooooooooo serikali yaikutoa tamko enzi za lowasa
Hata akifanyaje, itabaki kuwa alifeliSendeka ni mnafiki tu.
Sendeka ni mnafiki tu.
PINDA kishapona, chuki za LOWASSA zimegonga mwambaLowassa aliwaambia hakuna atakaye baki,ndio hilo zimwi linawatafuna
UmeonaeHapa hakuna maslahi ya taifa............wanasiasa wanatimiza kiu zao si zetu ....................:confused2:
Sendeka ni mnafiki tu.
Acha kupotosha we mtu hayo hajasema hicho unachosema punguza uongo huo haufai.Akichangia hoja ya escrow ameonyesha tofauti ya kuwajibishwa kwa Lowasa na Pinda anaependekezwa kuwajibishwa.
Anachuki na muhongo baada ya kuonesha kile cheti chake alipata zero.Sendeka ni mnafiki tu.
Umeonae, halafu PINDA atajiuzulu vipi kwa sababu eti kwa sababu tu LOWSSA. ni ujinga tu
naomba ile screen shot ya lowasa alivyo tweet