Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Kwa mazungumzo niliofanya naye ni kwamba, jana aliweza kuitisha vikao kwa viongozi wa dini zote kwaajili ya kutafakari ya jumbe zao walizozitoa wakati wa Idd na Pasaka na walikuwa viongozi trakibani 100 na wakamaliza vikao vyao salama na ndipo baadae jioni wakati anakwenda msalani katika eneo la kantini wakatoka watu wa wili ambao walikuwa wanakula katika eneo la kantini, wakaenda kumshambulia kwa vitu vizito ndani ya choo. Amesema Olengurumwa
Soma Pia: Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
Soma Pia: Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya