FRANK MICHAEL
Senior Member
- May 17, 2011
- 151
- 46
Naibu waziri wa Aridhi na mbunge wa Arumeru magharibi mh Godluck Olemedeye ashindwa kumnadi mgombea wa chama cha kwenye kampeni zinazoendelea jimboni kwake.
Hii inatokana na watoto kumzomea na kumwagia vumbi kwenye moja ya mikutano yake, taarifa za ndani ya CCM zinasema mh huyo ameamua kutoshiriki kwenye majukwaa ya hadhara ikiwa ni kwa nia ya kulinda heshima yake.
Hii inatokana na watoto kumzomea na kumwagia vumbi kwenye moja ya mikutano yake, taarifa za ndani ya CCM zinasema mh huyo ameamua kutoshiriki kwenye majukwaa ya hadhara ikiwa ni kwa nia ya kulinda heshima yake.