Msolo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2008 Posts 3,829 Reaction score 5,270 May 26, 2025 #161 Jasusi said: This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Click to expand... 10 years later, 2025, Mbowe yuko weak baada ya wanachama kumkataa kwenye sanduku la kura. Ajabu ameamua kuwa kimya kabisa, na anahusishwa zaidi kuhama kwa wanachama wake kwenda chama kingine cha upinzani Chaumma. Tetesi ni kwamba atakuwa sehemu ya chama hicho.
Jasusi said: This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Click to expand... 10 years later, 2025, Mbowe yuko weak baada ya wanachama kumkataa kwenye sanduku la kura. Ajabu ameamua kuwa kimya kabisa, na anahusishwa zaidi kuhama kwa wanachama wake kwenda chama kingine cha upinzani Chaumma. Tetesi ni kwamba atakuwa sehemu ya chama hicho.
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,493 Reaction score 7,417 Aug 4, 2025 #162 Kitila Mkumbo said: ni tabia yao tu ya kujipendekeza ambayo watanzania wengi tunayo, ila wengine hatujaionesha kwa sababu hatuna njia za kuonesha. Click to expand... Kitila kumbe ulikua unapambana kuionesha njia ya kujipendekeza
Kitila Mkumbo said: ni tabia yao tu ya kujipendekeza ambayo watanzania wengi tunayo, ila wengine hatujaionesha kwa sababu hatuna njia za kuonesha. Click to expand... Kitila kumbe ulikua unapambana kuionesha njia ya kujipendekeza