Ole wao mashahidi wa Uongo!

Ole wao mashahidi wa Uongo!

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,818
Reaction score
62,032
Ushuhuda wa uongo ni miongoni.mwa madhambi makubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu.
Miongoni mwa Amri 10 za Mungu ni kuwa usimshuhudie mtu uongo.

Sasa ole wao wanaopanga kuwashuhudia wenzao uongo, mbele ya mahakimu, hao ni watu wanaovunja amri za Mwenyezi Mungu waziwazi kwa ajili ya maslahi machache ya duniani.

Niwakumbushe tu kuwa zile Amri 10 ziliandikwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe, Kuzivunja kwa makusudi kwa sababu ya vyeo vya duniani au fedha ni kujitafutia matatizo.

Wanaopanga kushuhudia wenzenu uongo acheni, halina mwisho mwema hilo!
 
Ni ushauri mzuri kwa wastaarabu na wale wanaoamini mambo ya Sir God. Ila wahuni hawajali hiyo. Watazusha lolote, watatoa ushahidi wa uongo, wakijali maslahi yao tu.
 
Ushuhuda wa uongo ni miongoni.mwa madhambi makubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu.
Miongoni mwa Amri 10 za Mungu ni kuwa usimshuhudie mtu uongo.

Sasa ole wao wanaopanga kuwashuhudia wenzao uongo, mbele ya mahakimu, hao ni watu wanaovunja amri za Mwenyezi Mungu waziwazi kwa ajili ya maslahi machache ya duniani.

Niwakumbushe tu kuwa zile Amri 10 ziliandikwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe, Kuzivunja kwa makusudi kwa sababu ya vyeo vya duniani au fedha ni kujitafutia matatizo.

Wanaopanga kushuhudia wenzenu uongo acheni, halina mwisho mwema hilo!
Kuna watu nyau sana, kama ushahidi ni wa ukweli na haki, kwanini mashaidi wafichwe?
 
Ushuhuda wa uongo ni miongoni.mwa madhambi makubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu.
Miongoni mwa Amri 10 za Mungu ni kuwa usimshuhudie mtu uongo.

Sasa ole wao wanaopanga kuwashuhudia wenzao uongo, mbele ya mahakimu, hao ni watu wanaovunja amri za Mwenyezi Mungu waziwazi kwa ajili ya maslahi machache ya duniani.

Niwakumbushe tu kuwa zile Amri 10 ziliandikwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe, Kuzivunja kwa makusudi kwa sababu ya vyeo vya duniani au fedha ni kujitafutia matatizo.

Wanaopanga kushuhudia wenzenu uongo acheni, halina mwisho mwema hilo!


Hata wawafiche vipi, hao mashetani waliotengenezwa kwenda kushuhudia uwongo, Watanzania tutawafahamu, na majina yao yatawejwa wazi.
 
Hata wawafiche vipi, hao mashetani waliotengenezwa kwenda kushuhudia uwongo, Watanzania tutawafahamu, na majina yao yatawejwa wazi.
Uongozi wa CDM uagize haraka kifaa ambacho sitakitaja jina kinachoweza kubaini utambulisho wa mtu anayeongea akiwa amefichwa sura, jina na anwani ya makazi kikosupported na satelaiti ili njama za serikali kuleta mashahidi wa mchongo kije kiwaumbue.
 
Back
Top Bottom