Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
kwani leo umemuona karudi nyuma? sisi wala hatumuangalii yeye bali tunaangalia mgomo wetu kwamba tumegoma na ndivyo ilivyo hata kwa greda haturudi mpaka rais wa nchi hii atuambie kimamandish kwamba ametuongezea msahara kwa 100%
ametupa waalim wa science teaching allowance ya 50%, ametoa teaching allowance kwa waalim wengine ya 30% na hardship allowance kwa wale walioko kwenye shule zenye hali tete ya 50%. pia miundo mbinu ya vituo iboreshwe madawati, ubao madarasa vyoo kwa waalim na wanafunzi nk.
akishayafanya haya ntutarudi kazini. vinginevyo naomba kazi ya ualim naweza ifanya popote pale duniani ila sijawah ila hiyo ya kuwa raisi ama waziri wa elim TZ huwez kuifanya pengine zaid ya tanzania
Mkuu sijaelewa kwanini umeirudisha hii habari ya miaka minne iliyopita?
kwani leo umemuona karudi nyuma? sisi wala hatumuangalii yeye bali tunaangalia mgomo wetu kwamba tumegoma na ndivyo ilivyo hata kwa greda haturudi mpaka rais wa nchi hii atuambie kimamandish kwamba ametuongezea msahara kwa 100%
ametupa waalim wa science teaching allowance ya 50%, ametoa teaching allowance kwa waalim wengine ya 30% na hardship allowance kwa wale walioko kwenye shule zenye hali tete ya 50%. pia miundo mbinu ya vituo iboreshwe madawati, ubao madarasa vyoo kwa waalim na wanafunzi nk.
akishayafanya haya ntutarudi kazini. vinginevyo naomba kazi ya ualim naweza ifanya popote pale duniani ila sijawah ila hiyo ya kuwa raisi ama waziri wa elim TZ huwez kuifanya pengine zaid ya tanzania
Oktoba 14, 2008, Rais wa chama cha Waalim Bw Gratian Mkoba alipata kibano kutoka kwa waalimu wenzake waliotaka kujua nini hatma ya mgomo wao uliopangwa kufanyika.
Hatua hiyo inatokana na kile kilichodaiwa kuwa Mkoba kuwatangazia kuwa mgomo umesitishwa kwa amri ya Mahakama.
kwani leo umemuona karudi nyuma? sisi wala hatumuangalii yeye bali tunaangalia mgomo wetu kwamba tumegoma na ndivyo ilivyo hata kwa greda haturudi mpaka rais wa nchi hii atuambie kimamandish kwamba ametuongezea msahara kwa 100%
ametupa waalim wa science teaching allowance ya 50%, ametoa teaching allowance kwa waalim wengine ya 30% na hardship allowance kwa wale walioko kwenye shule zenye hali tete ya 50%. pia miundo mbinu ya vituo iboreshwe madawati, ubao madarasa vyoo kwa waalim na wanafunzi nk.
akishayafanya haya ntutarudi kazini. vinginevyo naomba kazi ya ualim naweza ifanya popote pale duniani ila sijawah ila hiyo ya kuwa raisi ama waziri wa elim TZ huwez kuifanya pengine zaid ya tanzania
hivi kwanini walim tusofundisha sayans tupate posho kidogo? Kwani sie mahitaji yetu ni tafauti na wengine?