jitahidi mwapamba ndani ya nyumba sema weww Elimu yako ni form 4 lakini jitahidi unaweza pata hata pale ikulu kumwagilia mauwaWote wanaotoka kuhojiwa polisi wanafunga midomo yao
huyo wanayemlinda kiasi hicho wamegundua Ni dhaifu sanaCCM wanahangaika sana.
mbona haujakana kama uliishia form 4 .?Wote wanaotoka kuhojiwa polisi wanafunga midomo yao
Wanadhani ndio watapunguza spidi ya bavicha kwenda dodoma?Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema Taifa(BAVICHA), Patric Ole Sosopi leo amehojiwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa tuhuma ya kutoa lugha chafu inayotishia uvunjifu wa amani.
Sosopi alifika kituoni hapo saa 4.10 asubuhi huku ameambatana na wakili wake Frederick Kikwelo huku wakisindikizwa na wafuasi watano wa chama hicho.
Akizungumzia suala hilo baada ya kutoka polisi mwanasheria wake alisema mwenyemkiti huyo alihojiwa kwa nusu saa na alipewa dhamana na jeshi la polisi huku wakiendelea na upelelezi wao ambapo ukikamilika watakabidhi kwa mwendesha mashtaka kwa ajili ya kupitia ushahidi.
Sosopi alisema baada ya kuhojiwa alielezwa na jeshi la polisi kuwa arudi Julai 18 mwaka huu lakini hawajampa sababu ya msingi ya kurudi siku hiyo.
“Polisi hawajanipa sababu ya msingi ya kurudi Julai 18 mwaka huu,”alisema Sosopi.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro alipoulizwa kuhusu alichohojiwa Sosopi, alisema hana taarifa hizo hivyo atafuatiulia
Hiyo ndiyo mama yetu tanzaniayule wa maumau yeye alikuwa anajenga taifa
Wanazuia maji kwa tenga watu tayari wapo dodomama ccm yanaogopa tarehe 23.ndipo mtajua kuwa Ukawa wako njiani kwenda saidia police
swissme
Hadi sasa zaidi ya 3000 wapo idodomyatarehe 18 atanga'ng'aniwa ili tarehe 23 asiwe Dodoma
Mkuu kwa miaka hii 5 lazima itaingizwaTanzania ina maajabu mengi tatizo haiingizwi kwenye kumbukumbu
Umevurugwa wewe baada ya kukosa uteuzi wa janaKwani centro polisi kunaccm tena au umevurugwa?
Unaonekana wewe ni zaidi ya kimeoAliongea ubwabwa kama Lowasa tu.
Nakuhakikishia huyo mmasai akitoka kuhojiwa hapo polisi lazima aufyate. Hapana chezea polisi veveWanadhani ndio watapunguza spidi ya bavicha kwenda dodoma?
Kwa post zako unajinyesha ni aina gani ya elimu uliyo nayoVipi akiwa hapo polisi hakuwaamrisha vijana wake wa BAVICHA wapambane na Polisi?
Mmakonde umechanganyikiwa sana. Sijui umekumbwa na niniUnaonekana wewe ni zaidi ya kimeo
Wewe ndiyo unapenda kushughulikiwaAnapaswa kushughulikiwa
Duh! Sijapata kuona mmakonde akivurugwa kiasi hikiKwa post zako unajinyesha ni aina gani ya elimu uliyo nayo
Huwezi kuelewa maana umefungwa akiliNdo umeandika nini sasa? Mie sijaelewa labda wenzangu
Huu mchezo hauhitaji hasira. Mnapokuwa na papara wenzenu polisi wamekaa pembeni wanawaangaliaWewe ndiyo unapenda kushughulikiwa
Hivi alimaliza kweli hata hiyo form 4?siku hizi unashinda mitandaoni ili na wewe uchaguliwe kama wenzako lakini wewe elimu yako ni form 4 pale mazengo laki unaweza pata bahati maana magu uchagua watu wasio na vision kama wewe jitahidi
swissme
Akili zako zimeshikwa na mbowe. Hapo umebaki msukule tuHuwezi kuelewa maana umefungwa akili
Tangu lini umekuwa msemaji wa jeshi la polisi?Wote wanaotoka kuhojiwa polisi wanafunga midomo yao