GE2025 Ole Sendeka: Rais Samia hata ukimuangalia usoni kwa moyo wa upendo alionao hawezi kuhusika na Utekaji, ni kiongozi mwenye upendo wa dhati kwa nchi

GE2025 Ole Sendeka: Rais Samia hata ukimuangalia usoni kwa moyo wa upendo alionao hawezi kuhusika na Utekaji, ni kiongozi mwenye upendo wa dhati kwa nchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu

Akizungumza Oktoba 12, 2025 jijini Arusha katika mkutano na waandishi wa habari, Ole Sendeka amesema vitendo hivyo havina nafasi katika jamii inayotaka kuendelea kwa amani na kuheshimu misingi ya demokrasia

“Utekaji ni jambo la hovyo, halikubaliki kabisa kwa nchi inayojali misingi ya haki na utu,” amesema Ole Sendeka

Amesema si kweli kwamba kila anayekosoa Serikali au chama tawala hujikuta akitekwa, akieleza kuwa yeye binafsi amewahi kutoa maoni makali ya kukosoa Serikali mara kadhaa bila kukumbwa na hali hiyo.

“Kama wangekuwa wanateka wale wanaokosoa na mimi siningetekwa?. Maana kama kuna mtu amekosoa Serikali hii, mimi ni mmoja wao"

Katika maelezo yake, Ole Sendeka pia ametetea uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akisema hawezi kuhusishwa na vitendo vya namna hiyo kutokana na hulka yake ya upendo na utu

“Rais Samia kwa jinsi alivyokuwa na upendo hawezi kubariki Serikali yake ikajihusisha na vitendo hivyo kama wengi wanavyosema.”

Ameongeza kuwa “Sisi tunaoujua moyo wa Rais Samia na alivyo Muungwana hawezi kutenda dhambi hiyo”.

Akihitimisha, mwanasiasa huyo amewataka Watanzania kuendelea kuwa na imani na Serikali, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha mazungumzo na hoja badala ya hofu na uvumi

Soma pia GE2025 - Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi


 
Bottom line ni kinaendelea kinachoendelea, sasa kama wao hawawezi kuhakikisha hitima ya kinachoendelea wanataka nani asitishe ?

Nini maana ya Uongozi kama sio kuhakikisha usalama wa raia (au hio haimo kwenye job description)?
 
Mzee wa hovyo huyu, hapo anasubiri Teuzi, awe RC. lol.
 
Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu

Akizungumza leo Oktoba 12, 2025 jijini Arusha katika mkutano na waandishi wa habari, Ole Sendeka amesema vitendo hivyo havina nafasi katika jamii inayotaka kuendelea kwa amani na kuheshimu misingi ya demokrasia

“Utekaji ni jambo la hovyo, halikubaliki kabisa kwa nchi inayojali misingi ya haki na utu,” amesema Ole Sendeka

Amesema si kweli kwamba kila anayekosoa Serikali au chama tawala hujikuta akitekwa, akieleza kuwa yeye binafsi amewahi kutoa maoni makali ya kukosoa Serikali mara kadhaa bila kukumbwa na hali hiyo.

“Kama wangekuwa wanateka wale wanaokosoa na mimi siningetekwa?. Maana kama kuna mtu amekosoa Serikali hii, mimi ni mmoja wao"

Katika maelezo yake, Ole Sendeka pia ametetea uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akisema hawezi kuhusishwa na vitendo vya namna hiyo kutokana na hulka yake ya upendo na utu

“Rais Samia kwa jinsi alivyokuwa na upendo hawezi kubariki Serikali yake ikajihusisha na vitendo hivyo kama wengi wanavyosema.”

Ameongeza kuwa “Sisi tunaoujua moyo wa Rais Samia na alivyo Muungwana hawezi kutenda dhambi hiyo”.

Akihitimisha, mwanasiasa huyo amewataka Watanzania kuendelea kuwa na imani na Serikali, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha mazungumzo na hoja badala ya hofu na uvumi

Soma pia GE2025 - Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi


Joblessness isikie kwa mbali tu. Huyu basitadi amekuwa jobless kwa miezi michache tu, lakini akili tayari imeshamruka. Hapo anahangaika kutafuta kazi (favor ya kuteuliwa)!

Kimazingira, hakuna namna ambayo Samia The Killer hahusiki na huo ushenzi unaoendelea. Ana kila tool ya kuukomesha, lakini hajaukomesha. Badala yake, critics wake wakitekwa na kuuawa yeye anasema, “kifo ni kifo tu”. Kama kweli hahusiki, basi hatoshi kuwa Rais—atupishe haraka sana.

Sisi hatuwezi kudanganyika na uso wa hadaa. Hata Delilah aliyeleta anguko kwa Samson alikuwa na uso wa hadaa. Uso wake wa hadaa amuoneshe mume wake au Chivayo Mzimbabwe!
 
Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu

Akizungumza leo Oktoba 12, 2025 jijini Arusha katika mkutano na waandishi wa habari, Ole Sendeka amesema vitendo hivyo havina nafasi katika jamii inayotaka kuendelea kwa amani na kuheshimu misingi ya demokrasia

“Utekaji ni jambo la hovyo, halikubaliki kabisa kwa nchi inayojali misingi ya haki na utu,” amesema Ole Sendeka

Amesema si kweli kwamba kila anayekosoa Serikali au chama tawala hujikuta akitekwa, akieleza kuwa yeye binafsi amewahi kutoa maoni makali ya kukosoa Serikali mara kadhaa bila kukumbwa na hali hiyo.

“Kama wangekuwa wanateka wale wanaokosoa na mimi siningetekwa?. Maana kama kuna mtu amekosoa Serikali hii, mimi ni mmoja wao"

Katika maelezo yake, Ole Sendeka pia ametetea uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akisema hawezi kuhusishwa na vitendo vya namna hiyo kutokana na hulka yake ya upendo na utu

“Rais Samia kwa jinsi alivyokuwa na upendo hawezi kubariki Serikali yake ikajihusisha na vitendo hivyo kama wengi wanavyosema.”

Ameongeza kuwa “Sisi tunaoujua moyo wa Rais Samia na alivyo Muungwana hawezi kutenda dhambi hiyo”.

Akihitimisha, mwanasiasa huyo amewataka Watanzania kuendelea kuwa na imani na Serikali, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha mazungumzo na hoja badala ya hofu na uvumi

Soma pia GE2025 - Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi



Yaani yeye Sendeka anaangalia USO.

Mwalimu alishasema kama unampenda sura yake kanywe naye chai.
 
Back
Top Bottom