Mungu ana makusudi mema na nchi hii. Baada ya kuona tumeteseka vya kutosha akatuondolea mwendazake.
Kisha Mungu akapandikiza roho mtakatifu kwa mama SSH, naye anaendeleza kazi nzuri ya kuondoa uozo
Mama alianza na Dr. Bashiru......out
Kakoko mbeba hela za bandari kupeleka kwa mwendazake. ...out
Dotto James aliyekuwa anachota tu mihela na kuipeleka CHATO ....out.
Biswalo aliyekuwa anawasukia watu mashitaka fake ...out
Gen. Mbung'o aliyekuwa anabambikia watu watu tuhuma za rushwa ..out
Sabaya mpenda ubabe na ujambazi...out
Kazi iendelee.!
Dotto out yuko wapi kijijini au kazi ya awali????? daa lile Jiwe!! jamaa lilikuwa na upendeleo wa waziwazi, tena wa kibabe wa kizamani mno!! Mtu wa kisasa hawezi kuwa na upendeleo wa kijinga hivi, ndo yamemkuta sasa! angalia
Madaktari watumbua usaa na kucheza na damu za watu wenye ukimwi huko labour ward oooh!! eti wana vyeti feki kisa majina yanafanana kuleee out!! walio Masomoni kwa mikopo kureee out!! kisa ili eti akajenge chato!!!
Mwenda zake alikuwa na yake sidhani km yule Alikuwa ni chaguo la Mungu ninaye mjua, ukilinganisha na Mstaafu Mkwere. huyu ni kwa namna nchi ilivo rindima kwa vifijo mpaka Kikwete akatoa chozi hadhalani kwa jinsi hakuamini alivo thaminiwa na watanzania!!!
Lile jiwe lilikuwa chaguo la konde Boy NChe Nkapa Kibabe babe!!! kitendo kile kilimkasirisha Mungu sana hawakujua tu, walitoa maamuzi ajili ya kiburi cha uzima!! Mungu akuwaacha hivihivi akawapa wote muda wa kutubu!!
ila sababu ya kiburi cha uzima , na ukuuu wa kifara!! angalia leo yaliyo wakuta na mahali walipowekwa salama!! walikuwa hawaonyeki wale Rais kufa na kaugonjwa kale amabko anatibiwa na NUrse tu akapona ni uzembe!! nje wangemkataa tu na alijua!!
kule kwetu Wazanaki tunasemaga ''wote wale !!! wote!! MANZI GA NYANZA '' Kuonyesha kuwa ni kweli wanabeba kokoto Ahela hawakupata hata nafasi ya kutubu!! pamoja na kumtaja Mungu mara kwa mara na kusali kanisa lileee la Wazungu!!
AMINI Mungu alisema wazi wazi ''siyo kila aniitae Bwana Bwana ataingia ktk ufalme wa.............. ndo hawa!!!