Ole Sabaya kaonewa sana

Sabaya amekuwa mbuzi wa kafara kama tunafanya overhaul tuanze na high command wenyewe , watu wasijifanye ni wema Sana kisa wanayo madaraka ...hata hvyo mda utatupa majibu bullshit
Kawaida watu wanakuacha uteseke peke yako kama unapopewa madaraka unavimba kichwa na kumuona kila mtu hana akili.
 
Hii ni takataka
 
Ametendewa uchakachuaji kama wanavyochakachua wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…