CCM mnataka kuchafua tu wapinzani. Kwanini, msiache vyombo vya dola vifanye kazi kwa weledi, badala ya mashinikizo ya viongozi wa CCM?Shule za waislamu zinachomwa kila kona ikiwemo Kimbweru yalipo makao makuu ya bakwata na Mtambani!
Itakuwa hoja ya kimbwiga sana!
Kuna tatizo kwenye shule za waislamu na huo ndio ukweli.
Tusifanye kila kitu ni siasa tutauwa taifa!
Mpumbavu unaakli... unawezaje kuleta chuki za kisiasa nadini?Unataka kutugawa?pumbavu kabsa wewe ujui uchaguzi utapta natutaendelea kuishi maisha Kama kawaida,Watu Kama nyie ndio wakuondoa duniani kabsa.....koma kabsa kuingza watu kwenye udiniMwenyekiti wa saccos, safari hii umedakwa kila kona. Wanafunzi lazima wakutaje tu, maana najua mtu Mzalendo na mwadilifu hawezi fanya upuuzi huo.
Kwanini unadhani wapinzani?!CCM mnataka kuchafua tu wapinzani. Kwanini, msiache vyombo vya dola vifanye kazi kwa weledi, badala ya mashinikizo ya viongozi wa CCM?
Mbona wameshahojiwa na wamejibu kuwa walichoma ili chuo kifungwe wapate njia ya kutorosha simu zilizoibwaMkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amempongeza OCD wake kwa kuweza kuwabaini wanafunzi watatu waliochoma shule wakati wenzao wakiwa msikitini.
Ole sabaya amemtaka OCD awahoji watuhumiwa hao ambao ni watoto kwa " kuwabembeleza" ili waweze kuwataja watu walio nyuma ya hujuma hiyo ya kuchoma shule ya waislamu likiwa ni tukio la kwanza wilayani Hai.
Chanzo: ITV habari
My take; Isijekuwa ni hujuma za kisiasa!
Maendeleo hayana vyama.
Wakibembelezwa wataongea zaidi!Mbona wameshahojiwa na wamejibu kuwa walichoma ili chuo kifungwe wapate njia ya kutorosha simu zilizoibwa
Kwani hizo shule zinazochomwa ni za bakwata?Inachomwa na Waislam wasiotaka kuisikia BAKWATA, wanasema BAKWATA ndio adui wao namba moja
Hapo ndio sabaya anapokoseaWakibembelezwa wataongea zaidi!
kama ni siasa wangechoma nyumba ya huyo Masai koko. common sense!Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amempongeza OCD wake kwa kuweza kuwabaini wanafunzi watatu waliochoma shule wakati wenzao wakiwa msikitini.
Ole sabaya amemtaka OCD awahoji watuhumiwa hao ambao ni watoto kwa " kuwabembeleza" ili waweze kuwataja watu walio nyuma ya hujuma hiyo ya kuchoma shule ya waislamu likiwa ni tukio la kwanza wilayani Hai.
Chanzo: ITV habari
My take; Isijekuwa ni hujuma za kisiasa!
Maendeleo hayana vyama.
Mwambieni Sabaya kuna maisha baada ya Siasa zake. Watanzania tuliishi kwa upendo na kujaliana. Wasituletee mambo ya Burindi na Rwanda. Mwambie Sabaya aende Nanyamba tumevamiwa.Ngoja uchunguzi wa kina ukamilike bwashee!
Hapa sabaya anamlenga tu mbowebndio maana anasema kua awabembeleze.
Sabaya ni mtu atari sana,anataka mbowe asishinde kwa kila aina ya matukio.
Sabaya kaa ukijua kua wewe ni Binadamu kama binadamu wengine.