Ole gunner ni kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kufundisha EPL

This man is boaring he brings jokes all the time
Every times comes with an excuse

I have watching Epl for more than 19 years sijawahi kuona kocha mpumbavu kama Huyu

He doesn't have gentleman talk anatoa excuse za kike tu

Mara tupo kwenye mpito
Mara tunatengeneza wachezaji wenye moyo wa Manchester
Yaani anaongea kama Hawa makocha wa ligi yetu ya Tanzania poor in everything
Before nilikuwa nawaheshimu sana wazungu kama watu smart. Lkn kupitia Ole nimejua kuna wazungu washenzi mno

Nimekuwa nikisikiliza interview za makocha wengi EPL. Coaches always hit the point, ila huyu bwege anaropoka ropoka tu kwenye interview

Atasema January tunasajili forward ikifika January atasema we want to give chance young players you can see this cowards

Na amewawezea kweli waingereza anaongea siasa na bla bla tupu na kupanga waingereza kwenye timu as an excuse kuendeleza vipaji

Manchester united ina kaa daraja moja na Barcelona. Real Madrid.bayern Munich, AC Milan, Ajax, liverpool nk

Lkn Manchester sasa inaendeshwa km mid table team no future at all


Ole gunner alishusha Cardiff city daraja kwa aibu akakimbia uingereza akaenda kwao baadae likarudishwa Manchester kwa njia ya rushwa anaiua timu mashabiki wanamkenuliA tu

Kocha mjinga huyu
Hajui kuinua vipaji vya wachezaji
Hajui mbinu nyingine ya ushindi zaudi ya counter attack


Viwango vya wachezaji vinashuka kila uchao?

Martial anacheza kama mjamzito kocha linaangalia tu
James abakimbia bila malengo km alivyikuwa walcot kocha lipo tu

Rashford akipokonywa mpira anashika kiuno kocha lipo tu

Kule nyuma goigoi Maguire ,lindolf ,bissaka,shaw wanakaba kwa macho kocha lipo tu

Kina Fred na perriera wanapasia adui mpira kocha anabungaa tu


Wachezaji viwango vinaporomoka kocha yupo tu

This man is shit, no more excuse again

Halafu liongo mbaya sana sijui mzungu gani huyu mnafiki hivi

Timu km Manchester united haitakiwi struggle kucheza uefa ila chini ya ole we finished kwa kweli

I hate Manchester united board but mostly I hate ole

Bad enough I hate myself being Manchester united supporter

Nimegundua mashabiki wa mid table team hawana stress ase

Nilikuwa na opition ya kuwa shabiki wa Birmingham city ila nikaopt Manchester united

Any way I hate , I hate

Lini tutaanza kushinda makombe tena?
Mkuu unaksea mimi sioni kosa la Ole hata kidogo na katika makocha wote waliokuja UTD baada ya Ferg Ole gunna ndio ameonesha anaweza phylosophy ya man U.

Kwa nini nasema hivyo? Wewe angalia wachezaji aliowasajili yeye ni wakiwango cha juu na kwa bei ndgo tu ukiacha Maguire, kiwango cha James sio cha ile Euro mill 15 mkuu hii inaonesha baada ya madirisha matatu ya usajili atakuwa amewaleta world class player kwa bei ndogo na hapo ndipo utaiona Utd ya Ferg.

Anawapa nafasi vijana wa academy wenye kuelewa phylosopy ya timu na tumeona vijana wakipewa nafas kam Greenwoof, Levit,, Gomes nk.

Sasa turudi kwa wachezaji waliopo. Hivi kweli unaweza mlaumu kocha kwa Martial na Rashiford kukosa nafasi za wazi karbu kila mechi. Katika kipindi hiki cha Ole ndio man u wametengeneza nafasi nyingi za magoli kama umekuwa ukiangali mecho za man u. Tatizo limekuwa kwa hawa vijana wetu wa mbele hawako serious yaani ni kama huwa hawajui timu inataka nini hasa Martial na Rashford huwa ni wavivu wavivu sana hasa wanapocheza na timu ndogo.

Ni mara ngapi Danieli James anamimina cross unakuta mtu kama Martial ma Rashford hawapo kwenye possion hata kuwagasigasi tu mabeki wanasubiri mpira uwafikie. Ni mara ngapi Rasford, Martial na Pogba wamekosa penalt au nafasi za wazi ambazo zingetupa point tatu. Ukitaka kujua hili rejea michezo yote ambaye tumedroo au kufungwa uone lawama zitaruda kwa kocha au wachezaji.

Ole kwa sasa yupo kwemye wakati mgumu hana backup ya Rashford, Martial ndio maana wanamchezea. Ila naamini ili hawa vijana waache utoto wao hasa Martial na Rashford inabidi January Ole avute strika wengine wawili ili wawe wanacompete huku mchezaji wangu kinda ninayemkubali Mason Greenwood naye apewe game za kutosha ili awe backup ya Martial.

Utakubaliana na mimi pamoja na mam u jana kushinda na Rasford kufunga magoli mawili dhido ya Tot lakini bado alikosa nafasi ya wazi kitu ambacho Tot wangesawazisha kunabaadhi mngemtupia lawama kocha.

Uzuri wa Ole hafungwi game kubwa mara nyingi anashinda hii ni dalili nzuri kuwa akipata wachezaji wenye kariba ya Man Utd ambaye yeye ameonekana ni bingwa wa kuwasajili basi nampa misimu minne kuanzia sasa utd itakuwa tishio tena.
 
Man u ya sasa haiwezi kumfunga spurs, labda kwa wakat mwingine

Man u mnaenda kula kipigo kwa spurs

Man city anakuja kuwanyoosha vzur, nadhan mpaka hapo ole atakuwa amefikisha asilimia 90 za kufukuzwa
Nyie ndio wale mnaoangalia mpira kwa maneno. Kitu ambacho nmekuwa nkiwaambia watu wengi kwenye vibanda umiza hasa wale wenzangu wenye kubet ni kuwa usije thubutu kuuwa man u ya Ole kwenye game kubwa huwa hawafungwi kirahisi na timu ikijitahidi sana kwa man u itaishia droo, rejea mechi zote kubwa tangu Solskjaer awe kocha.

Ni kwa nini huwa hafungwi kirahisi? Sababu huwa ziko nyingi ila niliyiugundua mimi ukiachia mechi ndogo ambazo hawa forwad wetu huwa wanastruggle kufungu, Mechi kubwa zote hawa vijana hasa Rashford hawezi toka bila goli huwa anakuwa hatari sana wewe waulize Liver Arsenal na chelsea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom