Ole gunner ni kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kufundisha EPL

Man u ya sasa haiwezi kumfunga spurs, labda kwa wakat mwingine

Man u mnaenda kula kipigo kwa spurs

Man city anakuja kuwanyoosha vzur, nadhan mpaka hapo ole atakuwa amefikisha asilimia 90 za kufukuzwa
Mjukuu wa Sheikh Yahaya, tayari mechi umeshaangalia na matokeo umetupa.
Mpira hauchezwi mdomoni,
Ahsante
 
Hivi hilo kundi halina watu wenye uzoefu na mpira ?
View attachment 1281208
Kwa structure hii Makocha watabaki kubadilishwa na si kubadilika.
Inabidi kocha awe kichwa ngumu na mkali kuliko hiyo bodi, kitu ambacho ni kigumu sana kama kuweka bahari kwenye ndoo.

Kwangu mimi binafsi Martial ni kidonda pekee ambacho kimenipelekea kuona kuwa hata makocha kwenye hii timu hawana usemaji wa mwisho kwenye maamuzi yao, nahisi kwenye huu utawala mzima kuna shida.
 
Huwezi ukaniaminisha uchezaji wa Martial ule utawala mzima hauuoni.......

Martial tangu kipindi cha Mourinho alikuwa ni wa hivyohivyo na ile hali inawafanya maforward wengine wasithubutu kumpa mpira mechi ya juzi hata dakika rashford hakuthubutu kumpa mpira Martial,

Nachohisi yule jamaa kama hana kizizi basi anasali sana au kunaujanja ujanja huyu dogo anaufanya sasa kutokana na ustaarabu wa kizungu wanashindwa kuwa wakali.

Martial pia ni forward pekee anayevaa gloves kati ya wachezaji woote so kwa saiikolojia ya haraka ni mchezaji mwenye mambo ya Kike kike na utashangaa akikosa goli anathubutu kuwatuhumu midfielders huku anasubiri mipira ya Counter attack.

Na kwa tabia ya martial kuna tabia anaitengeneza automatically kwa timu nzima kucheza kisharobaro nakukosa umoja kitu ambacho kitaimaliza timu bila watu kuona shida ipo wapi. Maurinho ni hayo mambo ya Kitoto yalimshinda vijana hawakumwelewa.
 
Katika wachangiaji wa jukwaa la michezo wewe unaweza kuwa mmoja kati ya wenye IQ na EQ ndogo sana. Kwa sababu kama Ole hana ufahamu katika michezo vipi kuhusu kucha hasa ambaye ni Luis Van Gaal,vipi kuhusu mbinu za Mourinho mbona zilifeli?je hawa waliopita wanatofauti gani na Ole?
Tatizo la man united unalijua ila kwa sababu ya IQ ndogo unakuwa depressed hata huelewi.Tatizo la man united ni katika structure.Mfumo wa uongozi umejikita kwenye soko la nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja hasa mauzo ya jezi na vifaa vingine.Lakin mbona timu ya wanawake inafanya vizuri sana kuliko ya wanaume?
 
Kwani Martial kafanya nini ?
Kwa structure hii Makocha watabaki kubadilishwa na si kubadilika.
Inabidi kocha awe kichwa ngumu na mkali kuliko hiyo bodi, kitu ambacho ni kigumu sana kama kuweka bahari kwenye ndoo.

Kwangu mimi binafsi Martial ni kidonda pekee ambacho kimenipelekea kuona kuwa hata makocha kwenye hii timu hawana usemaji wa mwisho kwenye maamuzi yao, nahisi kwenye huu utawala mzima kuna shida.
 
This man is boaring he brings jokes all the time
Every times comes with an excuse

I have watching Epl for more than 19 years sijawahi kuona kocha mpumbavu kama Huyu

He doesn't have gentleman talk anatoa excuse za kike tu

Mara tupo kwenye mpito
Mara tunatengeneza wachezaji wenye moyo wa Manchester
Yaani anaongea kama Hawa makocha wa ligi yetu ya Tanzania poor in everything
Before nilikuwa nawaheshimu sana wazungu kama watu smart. Lkn kupitia Ole nimejua kuna wazungu washenzi mno

Nimekuwa nikisikiliza interview za makocha wengi EPL. Coaches always hit the point, ila huyu bwege anaropoka ropoka tu kwenye interview

Atasema January tunasajili forward ikifika January atasema we want to give chance young players you can see this cowards

Na amewawezea kweli waingereza anaongea siasa na bla bla tupu na kupanga waingereza kwenye timu as an excuse kuendeleza vipaji

Manchester united ina kaa daraja moja na Barcelona. Real Madrid.bayern Munich, AC Milan, Ajax, liverpool nk

Lkn Manchester sasa inaendeshwa km mid table team no future at all


Ole gunner alishusha Cardiff city daraja kwa aibu akakimbia uingereza akaenda kwao baadae likarudishwa Manchester kwa njia ya rushwa anaiua timu mashabiki wanamkenuliA tu

Kocha mjinga huyu
Hajui kuinua vipaji vya wachezaji
Hajui mbinu nyingine ya ushindi zaudi ya counter attack


Viwango vya wachezaji vinashuka kila uchao?

Martial anacheza kama mjamzito kocha linaangalia tu
James abakimbia bila malengo km alivyikuwa walcot kocha lipo tu

Rashford akipokonywa mpira anashika kiuno kocha lipo tu

Kule nyuma goigoi Maguire ,lindolf ,bissaka,shaw wanakaba kwa macho kocha lipo tu

Kina Fred na perriera wanapasia adui mpira kocha anabungaa tu


Wachezaji viwango vinaporomoka kocha yupo tu

This man is shit, no more excuse again

Halafu liongo mbaya sana sijui mzungu gani huyu mnafiki hivi

Timu km Manchester united haitakiwi struggle kucheza uefa ila chini ya ole we finished kwa kweli

I hate Manchester united board but mostly I hate ole

Bad enough I hate myself being Manchester united supporter

Nimegundua mashabiki wa mid table team hawana stress ase

Nilikuwa na opition ya kuwa shabiki wa Birmingham city ila nikaopt Manchester united

Any way I hate , I hate

Lini tutaanza kushinda makombe tena?
Jikite kwenye lugha moja usomeke vizuri
 
Kama umeshindwa kumuelewa Ole huna lolote ulijualo katika soka, Wewe ni mmoja kati ya mashabiki maandazi wa ki bongobongo. Kuangalia kwako mpira miaka 19 hakujakusaidia chochote.
Liverpool FC fan here,
I can tell you Ole is a joke like Roy Hodgson when he was a Liverpool manager or England National team Manager.
Don't get fooled by his fancy statements "We will play the Manchester United way".
 
Abaki huyu huyu tu tena ikibidi astaafie hapo.Sijaona tija ya kubadilisha-badilisha makocha tangu babu aachie ngazi.Aachwe ajenge timu ya wachezaji wenye huo moyo wa man utd ili timu ikisimama iwe imesimama jumla jumla.
This man is boaring he brings jokes all the time
Every times comes with an excuse

I have watching Epl for more than 19 years sijawahi kuona kocha mpumbavu kama Huyu

He doesn't have gentleman talk anatoa excuse za kike tu

Mara tupo kwenye mpito
Mara tunatengeneza wachezaji wenye moyo wa Manchester
Yaani anaongea kama Hawa makocha wa ligi yetu ya Tanzania poor in everything
Before nilikuwa nawaheshimu sana wazungu kama watu smart. Lkn kupitia Ole nimejua kuna wazungu washenzi mno

Nimekuwa nikisikiliza interview za makocha wengi EPL. Coaches always hit the point, ila huyu bwege anaropoka ropoka tu kwenye interview

Atasema January tunasajili forward ikifika January atasema we want to give chance young players you can see this cowards

Na amewawezea kweli waingereza anaongea siasa na bla bla tupu na kupanga waingereza kwenye timu as an excuse kuendeleza vipaji

Manchester united ina kaa daraja moja na Barcelona. Real Madrid.bayern Munich, AC Milan, Ajax, liverpool nk

Lkn Manchester sasa inaendeshwa km mid table team no future at all


Ole gunner alishusha Cardiff city daraja kwa aibu akakimbia uingereza akaenda kwao baadae likarudishwa Manchester kwa njia ya rushwa anaiua timu mashabiki wanamkenuliA tu

Kocha mjinga huyu
Hajui kuinua vipaji vya wachezaji
Hajui mbinu nyingine ya ushindi zaudi ya counter attack


Viwango vya wachezaji vinashuka kila uchao?

Martial anacheza kama mjamzito kocha linaangalia tu
James abakimbia bila malengo km alivyikuwa walcot kocha lipo tu

Rashford akipokonywa mpira anashika kiuno kocha lipo tu

Kule nyuma goigoi Maguire ,lindolf ,bissaka,shaw wanakaba kwa macho kocha lipo tu

Kina Fred na perriera wanapasia adui mpira kocha anabungaa tu


Wachezaji viwango vinaporomoka kocha yupo tu

This man is shit, no more excuse again

Halafu liongo mbaya sana sijui mzungu gani huyu mnafiki hivi

Timu km Manchester united haitakiwi struggle kucheza uefa ila chini ya ole we finished kwa kweli

I hate Manchester united board but mostly I hate ole

Bad enough I hate myself being Manchester united supporter

Nimegundua mashabiki wa mid table team hawana stress ase

Nilikuwa na opition ya kuwa shabiki wa Birmingham city ila nikaopt Manchester united

Any way I hate , I hate

Lini tutaanza kushinda makombe tena?
 
Huyu kocha namkubali sana ana DNA za RED DEVILs abaki ikiwezekana mpaka afie hapohapo..
 
You are a living IDIOT,,,,
Kama umeshindwa kumuelewa Ole huna lolote ulijualo katika soka, Wewe ni mmoja kati ya mashabiki maandazi wa ki bongobongo. Kuangalia kwako mpira miaka 19 hakujakusaidia chochote.
 
Wenzio tumeshahamia kwa ze spesho wani wewe bado unahangaika na ritimu ribovu mura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom