Hahahahahaaa! Kumbe alianza kukufunga kamba siku nyingi hivyo?Unajua watoto wa siku hizi hawajui kuandika barua, enzi zike babu Asprin aliniandikia kuwa akinywa maji ananiona kwenye glass
Hahahaaaa unamaanisha zile nguo zilizoanikikwa kwenye kamba pale crdb ndio hua kuku wa kizungu wanaokula majani kwenye ule uwanja wa azam kariakoo?Lakini tuwe wa kweli kama na II angejua ku weigh proms and cons of his decisions bombardier zisingekamatwa