Sanzjr Hamma
Member
- Jun 17, 2013
- 42
- 3
this is typical terrorism, TISS iko wapi?
TISS wako kwa manufaa ya CCM siyo ya Taifa. Kuna siku watu watafanya kweli kwenye mikutano ya CCM alafu tuone kama TISS watafanya kazi au la
this is typical terrorism, TISS iko wapi?
hata MOSAD, KGB na CIA wakija, bado results zitatiwa ka-puni!
MUNGU pekee ndio SOLUTION ya janga hili!
MUNGU pekee ndio SOLUTION ya janga hili!
Usikate tamaa sana..
TISS wako kwa manufaa ya
CCM siyo ya Taifa. Kuna siku watu watafanya kweli kwenye mikutano ya CCM
alafu tuone kama TISS watafanya kazi au la
nyie wazembe kweli. yaani kujilipua mjilipue wenyewe mhangaishe vyombo vya dola? shame on you