Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Kuonyesha kuwa tupo makini na safu ya benchi la ufundi ikifanya kazi kwa umakini zaidi tumeamua kumsainisha Emanuel Okwi aliye maliza mkataba na timu yake ya zamani ya Simba Ta.04/07/2012 hivyo wakereketwa wa Yanga tarajiaeni kumwona Okwi Kagame Cup ndani ya uzi wa njano na kijani na hajaenda South Africa wala Italy ilikuwa zuga tu.