Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
FULL TIME
90' Zinaongezwa dakika 5 za nyongeza
88' Shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini kipa Diarra anafanya kazi nzuri ya kuzuia
82' Morrison ametoka, ameingia Farid Musa
80' Wachezaji wawili wa Club African wapo chini, mchezo umesimama kwa muda
72' Yanga wanatengeneza mashambulizi lakini bado ngome ya Club African ni ngumu
53' Yanga wanapata kona lakini haizai matunda
50' Anatoka Kisinda anaingia Moloko upande wa Yanga
48' Kipa wa Club Africane anapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha muda
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Shambulizi kali langoni mwa Club Africane lakini walinzi wanaokoa
42' Presha ya mchezo inaongezeka
39' Benchi la Club Africane wanainuka na kulaumu kwa mwamuzi, mchezo unasimama kwa muda wakitaka penati
34’ Mchezo unaendelea timu zikipeana zamu kumiliki mpira
25’ Yanga ni kama wameshtukia mtego wa wapinzani wao, sasa wanaongeza kasi
20’ Mayele anapiga kichwa mpira unadakwa
15’ Yanga wameanza kuchanganya kasi, wamepata kona mbili ndani ya muda mfupi
10’ Yanga ni kama wanalazimishwa kucheza mchezo wa taratibu
5’ Mchezo umeanza kwa kasi ndogo
Mchezo umeanza
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mchezo, wachezaji na benchi la ufundi la timu zote wanasalimiana
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kupasha miili joto, idadi ya watu siyo kubwa lakini wanaendelea kuingia uwanjani.
============
Leo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia
Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.
Hivyo wanawakilishi nchi yetu
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.
90' Zinaongezwa dakika 5 za nyongeza
88' Shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini kipa Diarra anafanya kazi nzuri ya kuzuia
82' Morrison ametoka, ameingia Farid Musa
80' Wachezaji wawili wa Club African wapo chini, mchezo umesimama kwa muda
72' Yanga wanatengeneza mashambulizi lakini bado ngome ya Club African ni ngumu
53' Yanga wanapata kona lakini haizai matunda
50' Anatoka Kisinda anaingia Moloko upande wa Yanga
48' Kipa wa Club Africane anapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha muda
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Shambulizi kali langoni mwa Club Africane lakini walinzi wanaokoa
42' Presha ya mchezo inaongezeka
39' Benchi la Club Africane wanainuka na kulaumu kwa mwamuzi, mchezo unasimama kwa muda wakitaka penati
34’ Mchezo unaendelea timu zikipeana zamu kumiliki mpira
25’ Yanga ni kama wameshtukia mtego wa wapinzani wao, sasa wanaongeza kasi
20’ Mayele anapiga kichwa mpira unadakwa
15’ Yanga wameanza kuchanganya kasi, wamepata kona mbili ndani ya muda mfupi
10’ Yanga ni kama wanalazimishwa kucheza mchezo wa taratibu
5’ Mchezo umeanza kwa kasi ndogo
Mchezo umeanza
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mchezo, wachezaji na benchi la ufundi la timu zote wanasalimiana
============
Leo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia
Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.
Hivyo wanawakilishi nchi yetu
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.