Kwanza naomba niwatakie nyote heri ya mwaka mpya..
Tumshukuru sana MUNGU kwa kuuona mwaka huu
Sasa jamani katika likizo hii ya mwisho wa mwaka sikwenda kokote, nilikuwa hapahapa Dar..
ila nilibahatika kutembelewa na ndg na jamaa zangu kiasi cha kutosha ..nashukuru sana..
mmoja kati ya jamaa zangu (Binamu yangu) alikuja na kunitaka ushauri. kwamba afenyeje
maana mchumba wake anayetaka kumuoa maungo yake ni ya baridi. yaani wakati wanashiriki tendo la uchumba, yule dada ni wa baridi kabisa..
kwa kweli kaniomba sana msaada wa kimawazo.. ameshapeleka barua kwao,
anasema wameanza mawasiliano miaka mi3 ilopita, ila tendo wameanza mwaka jana mwezi wa nne..
anasema alishawahi kuwa na dada mwingine wakati yupo Tumaini Unvsty, wakishiriki tendo, dogo alikuwa anaweza kwenda hata round 4-5... lkn kwa huyu akijitahidi ni 2 tu.. yaani bariidiiii.. ingawa anadai mchumba wake hujitahidi kuwajibika kunako 6x6
sasa anajishauri sana..
Naombeni sana busara zenu na ushauri nimshaurije bw. mdogo?
je kuna tiba? au kuna aina za vyakula? na je hili ni tatizo?
Kwangu ni suala gumu kiasi..
ahsanteni
Tumshukuru sana MUNGU kwa kuuona mwaka huu
Sasa jamani katika likizo hii ya mwisho wa mwaka sikwenda kokote, nilikuwa hapahapa Dar..
ila nilibahatika kutembelewa na ndg na jamaa zangu kiasi cha kutosha ..nashukuru sana..
mmoja kati ya jamaa zangu (Binamu yangu) alikuja na kunitaka ushauri. kwamba afenyeje
maana mchumba wake anayetaka kumuoa maungo yake ni ya baridi. yaani wakati wanashiriki tendo la uchumba, yule dada ni wa baridi kabisa..
kwa kweli kaniomba sana msaada wa kimawazo.. ameshapeleka barua kwao,
anasema wameanza mawasiliano miaka mi3 ilopita, ila tendo wameanza mwaka jana mwezi wa nne..
anasema alishawahi kuwa na dada mwingine wakati yupo Tumaini Unvsty, wakishiriki tendo, dogo alikuwa anaweza kwenda hata round 4-5... lkn kwa huyu akijitahidi ni 2 tu.. yaani bariidiiii.. ingawa anadai mchumba wake hujitahidi kuwajibika kunako 6x6
sasa anajishauri sana..
Naombeni sana busara zenu na ushauri nimshaurije bw. mdogo?
je kuna tiba? au kuna aina za vyakula? na je hili ni tatizo?
Kwangu ni suala gumu kiasi..
ahsanteni