Wapendwa nilikuwa na picha kwenye Camera ya digital(Sanyo)ilikuwa na picha ambazo ni muhimu sana na zimebeba historia yangu na familia kwa miaka mingi ijayo ni bahati mbaya kuna mtu aliingiza memory kadi yake na yaelekea ilikuwa na virus ....na kusababisha picha zilizokuwa kwenye Camera kufutika ,Naomba msaada wenu kama kuna uwezekano ya kuzirejesha picha hizo!