Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 117
- 387
Oklahoma city thunder wameshinda ubingwa wa NBA kwa msimu wa 2024/2025 baada ya kuwatandika vikali Indiana pacers kwa vikapu 103-91 katika mechi ya saba wa mfululizo wa fainali hizo.
Oklahoma city thunder ni mabingwa wa NBA kwa mara ya kwanza katika historia ya timu hiyo.
Shai Gilgeous Alexander drops 29 pts, 5 reb and 12 ast. [MVP]
Oklahoma city thunder ni mabingwa wa NBA kwa mara ya kwanza katika historia ya timu hiyo.
Shai Gilgeous Alexander drops 29 pts, 5 reb and 12 ast. [MVP]