Oili chafu karibu itanokisha engine!

Oili chafu karibu itanokisha engine!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,119
Kwa wanaofahamu utendaji kazi wa engine safi, wanaelewa kuwa huwezi kutumia oili chafu na bado ukapata matokeo mazuri.
UKAWA katika siku za hivi katiribuni waliamua kufanya service ya gari lao lenye engine ya CHADEMA.
Katika hiyo engine mafundi wasio na uzoefu wa utendaji wa gari wakaamua kuchakachua, wakauza oili safi kwa hela ndogo na kuamua kuweka oili chafu toka gari nyingine.

Baada ya kuweka oili chafu tayari filter imeziba!!
Na imeacha kufanya kazi imebidi itolewe!!
Engine imeanza kutoa moshi, na drive shaft ya UKAWA nayo imeanza kugonga, na safari ya matumaini ndo kwanza inaanza.
Gari hii ni lazima ita noki tu kabla ya 25 Oktoba mwaka huu!!

Tatizo ni kwamba gari nyingine bado ndo inafanyiwa service.
Oili chafu nyingi zinazidi kuondolewa na safi kuingizwa.
Wengi wanangojea hii gari ya CCM kuwashwa tu ili waipande.
 
Haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18.

POMBE INA MADHARA, UNAWEZA KUVUA NGUO MBELE YA MAMA MKWE WAKO.
 
Haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18.

POMBE INA MADHARA, UNAWEZA KUVUA NGUO MBELE YA MAMA MKWE WAKO.

Heri ukavua nguo na bado ukabaki unafanya kazi bila matatizo.
Engine hiyo ikinoki ndo mwisho wa safari.
 
Kwa wanaofahamu utendaji kazi wa engine safi, wanaelewa kuwa huwezi kutumia oili chafu na bado ukapata matokeo mazuri.
UKAWA katika siku za hivi katiribuni waliamua kufanya service ya gari lao lenye engine ya CHADEMA.
Katika hiyo engine mafundi wasio na uzoefu wa utendaji wa gari wakaamua kuchakachua, wakauza oili safi kwa hela ndogo na kuamua kuweka oili chafu toka gari nyingine.

Baada ya kuweka oili chafu tayari filter imeziba!!
Na imeacha kufanya kazi imebidi itolewe!!
Engine imeanza kutoa moshi, na drive shaft ya UKAWA nayo imeanza kugonga, na safari ya matumaini ndo kwanza inaanza.
Gari hii ni lazima ita noki tu kabla ya 25 Oktoba mwaka huu!!

Tatizo ni kwamba gari nyingine bado ndo inafanyiwa service.
Oili chafu nyingi zinazidi kuondolewa na safi kuingizwa.
Wengi wanangojea hii gari ya CCM kuwashwa tu ili waipande.

Bangi hizi zitawafanya wehu; na mtatembea uchi mchana kweupe!
 
Jamani wakati wa kufanya maamuzi ni sasa ivi ni kiasi gani tumeumizwa na serekali iliyopo madarakani, maisha yamekuwa magumu garama za kila kitu cha muhimu kuanzia matibabu, elimu, vyakula, mafuta, umeme zinapanda kila kukicha, wanyama wetu wanauliwa kila saa, rasilimali za nchi kama madini,gesi na mbuga za wanyama wanafaidi wachache, ni muda wa kubadili tanzania ya leo, timiza wajibu wako kwa kupga kura oct 25
 
ccm miaka 50 bado mna taka tena.kwa kipi mlicho wafanyia watanzania
 
Kama wanaotoka ccm ni oil chafu, nitaona kama ccm itakuwa na jeuri ya kukata jina la profesa tibaijuka kwa maana walimwondoa ujumbe wa nec kwa kusema ni mwizi, hapo ndo utajua ccm ni nani na wanataka nini baadaya kushindwa miaka 50
 
Kwa wanaofahamu utendaji kazi wa engine safi, wanaelewa kuwa huwezi kutumia oili chafu na bado ukapata matokeo mazuri.
UKAWA katika siku za hivi katiribuni waliamua kufanya service ya gari lao lenye engine ya CHADEMA.
Katika hiyo engine mafundi wasio na uzoefu wa utendaji wa gari wakaamua kuchakachua, wakauza oili safi kwa hela ndogo na kuamua kuweka oili chafu toka gari nyingine.

Baada ya kuweka oili chafu tayari filter imeziba!!
Na imeacha kufanya kazi imebidi itolewe!!
Engine imeanza kutoa moshi, na drive shaft ya UKAWA nayo imeanza kugonga, na safari ya matumaini ndo kwanza inaanza.
Gari hii ni lazima ita noki tu kabla ya 25 Oktoba mwaka huu!!

Tatizo ni kwamba gari nyingine bado ndo inafanyiwa service.
Oili chafu nyingi zinazidi kuondolewa na safi kuingizwa.
Wengi wanangojea hii gari ya CCM kuwashwa tu ili waipande.


hata unachokiandika inaonekana hauko okey.. afu mbona mnajihusisha sana na ishu za ukawa/chadema?!! kwenu ccm hakuna mvuto tena nn
 
hata unachokiandika inaonekana hauko okey.. afu mbona mnajihusisha sana na ishu za ukawa/chadema?!! kwenu ccm hakuna mvuto tena nn

Oili chafu tuliyoimwaga ndo inaendesha injuni yenu.
Na ukakasi si mnauona?
Pole tu!!!
 
Back
Top Bottom