Acha uongo lawate ipo Petrol stationHapo labda uje mpaka Boma ndio utapata
Naifahamu ila mafuta yao sio ya kuyaamini sana si pale sokoni wakati unapandisha mkono wa kushotoAcha uongo lawate ipo Petrol station
Kuna kijana yuko mitaa hiyo...Sukuma mzigo aende pale chap na picha upate100k
Ushampata mtu?wa kwendaUnaweza ukanipa mawasiliano yake