Salaam wakuu...nina hitaji msaada juu ya hiii OGwhatsapp maana kwangu version imekua obsolete na naambiwa nidownload nyingine na kila nikitafta apk ya version mpya napata version iloexpire ndo ya juu....je nifanyeje ili niendelee kupata two WhatsApp kwa device moja????
Msaada please.
Cc: Chief-Mkwawa C6 mwl-rct Bulldog
Natumia OG pia, juzi ime expire na nipo nje ya nchi na natumia namba ya bongo. Sipendi bibadlishe namba ya bongo. Nilichokifanya nimerudisha tarehe ya simu nyuma ili niendelee kuitumia. Kama kuna msaada mwingine itapendeza. Natumia voda na huku hawana roaming
Leo nimedownload OGwhatsapp lakini ipo kaktika mfumo ambao wengi hawajaujua na ukimaliza ku install unafungua kuji register wana kwambia expired na baned den wanasema wambie marafiki zako wote duniani ukifungua ndani utaweza kujiregister nenda aptiode then andika ogwhatsapp watataka usearch in other sources search hapo watakuletea ogwhatsapp na chini ake kutakuwa na ogwhatsapp dr cell ya five days ago Ichukue hiyo ndo ogwhatsapp yenyewe kwenye tatizo tuambizane
Leo nimedownload OGwhatsapp lakini ipo kaktika mfumo ambao wengi hawajaujua na ukimaliza ku install unafungua kuji register wana kwambia expired na baned den wanasema wambie marafiki zako wote duniani ukifungua ndani utaweza kujiregister nenda aptiode then andika ogwhatsapp watataka usearch in other sources search hapo watakuletea ogwhatsapp na chini ake kutakuwa na ogwhatsapp dr cell ya five days ago Ichukue hiyo ndo ogwhatsapp yenyewe kwenye tatizo tuambizane
Naomba Msaada na mimi.
Nilikuwa natumia Whatsapp+. Kuna kipindi walinilima BAN.. Nikaamua kuUninstall...
Ikiwa kila nikiDownload napata version iliyoExpire..
Nimeamua tu nikae kimya nisubirie kudra za mungu tu.
Natumia OG pia, juzi ime expire na nipo nje ya nchi na natumia namba ya bongo. Sipendi bibadlishe namba ya bongo. Nilichokifanya nimerudisha tarehe ya simu nyuma ili niendelee kuitumia. Kama kuna msaada mwingine itapendeza. Natumia voda na huku hawana roaming
Download telegram ni clone ya whatsapps so iko kama whatsapp most of the features pia hii unatuma normal files kama excel, word etc