Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Tuwe Makini sana Kusaidia watu kwa njia yeyote ile mwishoe anageuka kuwa nyoka na kukung’ata bila huruma yeyote huyo huyo uliyemsaidia ndo huyo atakae kuua huku unaangalia.
Aisseee imefika stage now sitaki kumsaidia mtu yeyote yule kwenye haya maisha kila mtu apambane na hali yake siwezi kujitengenezea nyoka mwenyewe hili aje kuning’ata bila huruma.
Ndio haya ya Diamond Platnumz kumsaidia Harmonize leo anamuona takataka.
Binadamu ni sawa na Mbwa wasiokuwa na Shukrani
Aisseee imefika stage now sitaki kumsaidia mtu yeyote yule kwenye haya maisha kila mtu apambane na hali yake siwezi kujitengenezea nyoka mwenyewe hili aje kuning’ata bila huruma.
Ndio haya ya Diamond Platnumz kumsaidia Harmonize leo anamuona takataka.
Binadamu ni sawa na Mbwa wasiokuwa na Shukrani