Ogopa hizi shuhuda

vipi mpaka kufikia sasa una lipi la kusema kuhusu janga hilo na nchi yetu kwa ujumla...
Niseme tu nchi yetu iliguswa na janga hili na kwamba hadi sasa Wizara ya Afya inawaasa Wananchi wafuate kanuni za Afya ili kujilinda na janga hili. Pia inasisitiza kwamba chanjo na Dawa za Corona bado havijapatikana.
 
Chifu Mshana umenena.
Kununua nyumba? Funga mdomo wako.
Je, unanunua gari jipya? Funga mdomo wako.
Kufunga ndoa? Funga mdomo wako.
Kwenda likizo? Funga mdomo wako.
Kwenda kufanya kozi? Funga mdomo wako.
Je, umepandishwa cheo? Funga mdomo wako.
Asilimia 99 ya wakati sababu ya ndoto/maono yetu kutotimia inapotakiwa, ni kwa sababu tunafungua midomo yetu mapema sana kwa watu wasio sahihi kwa wakati mbaya. Tulikosea kushiriki miradi/mafanikio yetu na watu wanaodai kuwa "marafiki". Wivu na wivu wa hali ya chini inatosha kwa watu kujilisha na kubomoa kile ambacho kinaweza KUWA, kabla hata hakijatokea, kwa hivyo ... Funga mdomo wako!
Wengi wa "marafiki" wako wanataka kukuona ukifanya vizuri lakini sio bora kuliko wao!! Na ukumbusho tu! Hata wanafamilia wana wivu uliojificha!!! Lakini, hawawezi kuacha aliyo nayo Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!





 
Ujinga Ni mtaji kwa wajanja wachache kuutumia Kama leverage to their highest level.
Hata ujinga,uzembe,umasikini, ugonjwa,wapenda ngono,uzembe,uvivu,ugomvi,anasa,utajiri fursa kwa watu kupiga pesa. Yaani kila kitu Cha binadamu Ni fursa ya kupiga pesa Ni wewe tu uwezo wako wa kuziona hizo fursa.
Wanasiasa wanaishi kisa Cha ujinga na umasikini wa wengine.tena wanaishi lavish life.
" Mtu akikuambia akikutangazia njia ya kupiga hela ama angekuwa anaijua nadhani angekuwa kimya na kula hela ama kumeki hizo hela otherwise you're his/her way to make money.

Ila umenichekesha kuwa pamoja ya kuwa nimesoma hapa bado nitakuja kulia kuwa nimepigwa hela mahala.
 
Mbona hujaweka ishu za forex...
Watu walipigwa ada now sijui accounts zao zinasoma dola ngapi



Sent from my iPhone using JamiiForums
Forex nakukatalia mkuu ishu Ni real sema huwezi amini. Subiria as time goes on will tell
 
Ila umenichekesha kuwa pamoja ya kuwa nimesoma hapa bado nitakuja kulia kuwa nimepigwa hela mahala.
 
Ni kweli kabisa mkuu.

Ila naomba nikuulize kitu, Hivi ni kweli kabisa huwa hakuna namna ya kupata hela au mafanikio kwenye ulimwengu wa Giza?? Nikimaanisha kama majini, Uchawi au uganga??

Maana huwa tunasikia kuna matajiri wa aina hiyo
 
Ni kweli kabisa mkuu.

Ila naomba nikuulize kitu, Hivi ni kweli kabisa huwa hakuna namna ya kupata hela au mafanikio kwenye ulimwengu wa Giza?? Nikimaanisha kama majini, Uchawi au uganga??

Maana huwa tunasikia kuna matajiri wa aina hiyo
Zipo ila masharti yake ni makubwa na ni magumu. Huwezi kupata utajiri kwa kutoa kafara la kuku au mbuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…