View attachment 307484Hii ni breakfast ya mtu mzito sana.Leo kahamia mrengo kushoto hali ya uchumi imeanza kudhoofu
Baada ya miezi 3 tu kuna watu wataanza kubadilisha ukubwa wa suruali zao ..fundi punguza kiuno toka 40 hadi 36 ama 35. Hapa kazi tu.
Baada ya miezi 3 tu kuna watu wataanza kubadilisha ukubwa wa suruali zao ..fundi punguza kiuno toka 40 hadi 36 ama 35. Hapa kazi tu.
Mi nasubiri wakianza weka bond magari na mijengo