Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

wadada muwe na huruma na sisi kaka zenu huku maofisini. huyu secretary ni mke wa mtu leo kanifanyia makusudi ameliamsha dude mpaka muda huu linahema tu. kavaa nguo fupi halafu kaja ofisini kwangu kanigusisha makalio yake usoni akijifanya anainama..makusudi na hii si mara ya kwanza.

kazi haziendi akili yangu haipo hapa..yeye anacheka tu na kunifanyia kusudi..... hii ni nini? kwa wale mnaokuwa maofisini haya mambo yapo. huyu dada anapenda hata ukimwambia nichomeke flash...anakuuliza unatka uchomeke flash utaweza kuchomoa au mpaka u upload kwanza? yaani kila kitu anakihusisha na nyanjo/mikasi/sex tu.

nilimwambia jumatano iliyopita nimechoka flash nyuma kuna kazi nahitaj uiangalie...akanambia anataka nichomeke mbele ndo atafurah zaidi nyuma hule haisomi....huku akilambalamba midomo yake na kuiuma uma...na ukimwangalia na makalio na hips kubwa. yaani anakuwa mchokozi sana kwangu. wandugu muwe na huruma, wadada muwe na huruma..... si wakati wote inafaa KULIAMSHA DUDE..... "unanitesa,unaniumiza, unanichoma mkuki moyoni"
Jiongeze mkuu
 
m-dude u-dudwe. Usicheze na moto!
 
ndo aina ya man power tulionazo uko maofisini.....no wonder hawa ndio wanaotutungia sera za nchinya viwanda.
 
Huyo mwanamke anawakilisha ile asilimia kubwa ya watanzania, huwa hatuwazi production, tunawaza reproduction. Sisi na ngono all the way, no wonder its been a poor nation.
 
Kumbe unachomekaga flash na kuchomoa bila ku upload? Acha kumtesa Dada wa watu
 
sasa si umwite huko ofisini kwako ule Nundu mkuu..!
me najuaga sana maumivu ya kuhema kwa hogo pindi likitaka nundu.. maliza hapohapo mkuu acha kuremba
 
wadada muwe na huruma na sisi kaka zenu huku maofisini. huyu secretary ni mke wa mtu leo kanifanyia makusudi ameliamsha dude mpaka muda huu linahema tu. kavaa nguo fupi halafu kaja ofisini kwangu kanigusisha makalio yake usoni akijifanya anainama..makusudi na hii si mara ya kwanza.

kazi haziendi akili yangu haipo hapa..yeye anacheka tu na kunifanyia kusudi..... hii ni nini? kwa wale mnaokuwa maofisini haya mambo yapo. huyu dada anapenda hata ukimwambia nichomeke flash...anakuuliza unatka uchomeke flash utaweza kuchomoa au mpaka u upload kwanza? yaani kila kitu anakihusisha na nyanjo/mikasi/sex tu.

nilimwambia jumatano iliyopita nimechoka flash nyuma kuna kazi nahitaj uiangalie...akanambia anataka nichomeke mbele ndo atafurah zaidi nyuma hule haisomi....huku akilambalamba midomo yake na kuiuma uma...na ukimwangalia na makalio na hips kubwa. yaani anakuwa mchokozi sana kwangu. wandugu muwe na huruma, wadada muwe na huruma..... si wakati wote inafaa KULIAMSHA DUDE..... "unanitesa,unaniumiza, unanichoma mkuki moyoni"
Mwambie mkeo aliamshe nae dude hapo ofisini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom