Wanafunzi hawana matundu ya choo wewe unaongelea ofisi za wakuu wa shule.........shule za ummah vjijini ni majangaOfisi za walimu wakuu shule za Msingi za Umma ni Changamoto kubwa.
Tunaomba serikali iwafikirie hata kidogo ofisi zao ziwe na hadhi basi.
Ili mtu afurahie kazi yake basi mazingira yanapaswa kuwa mazuri.
Hebu onyesha mfano kwa shule uliyosoma kwa kughalimia matengenezo ya vyoo vya watoto na ofisi ya walimu.Ofisi za walimu wakuu shule za Msingi za Umma ni Changamoto kubwa.
Tunaomba serikali iwafikirie hata kidogo ofisi zao ziwe na hadhi basi.
Ili mtu afurahie kazi yake basi mazingira yanapaswa kuwa mazuri.
Kwani ukichukua mkopo au mshahara wako wa miez 6 ukaikarabati kuna shida gani si unashinda wewe humo? Ipende ofisi yako basi Mwalimu.Ofisi za walimu wakuu shule za Msingi za Umma ni Changamoto kubwa.
Tunaomba serikali iwafikirie hata kidogo ofisi zao ziwe na hadhi basi.
Ili mtu afurahie kazi yake basi mazingira yanapaswa kuwa mazuri.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani ukichukua mkopo au mshahara wako wa miez 6 ukaikarabati kuna shida gani si unashinda wewe humo? Ipende ofisi yako basi Mwalimu.