BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Wanabodi,
Ofisi za serikali kutokupokea simu kwao ni jambo la kawaida sana. Kama unashida wizara yoyote ya serikali au idara yoyote ile jaribu kupiga simu, kamwe simu haitapokelewa.
Unaweza ukapiga asubuhi, mchana mpaka muda wa kutoka simu hazipokelewi. Hizo simu huwa zinawekwa wapi?
Unaweza kuwa upo Arusha unashida wizara fulani ni lazima uende ofisini au umuagize mtu aende ofisini au kama kuna mtu unamfahamu pale ndio umpigie simu yake ya mkononi. Ukituma email ndio sahau kabisa, hujibiwi milele. Wenzetu private ukipiga ikiita sana mara mbili na email zinajibiwa ndani ya masaa 24.
Kwa mnaofanya kazi ofisi za serikali mtusaidie, huko wenzetu huwa mnakataliwa kupokea simu za wananchi mnaowahudumia au ni kiburi tu.?
Ofisi za serikali kutokupokea simu kwao ni jambo la kawaida sana. Kama unashida wizara yoyote ya serikali au idara yoyote ile jaribu kupiga simu, kamwe simu haitapokelewa.
Unaweza ukapiga asubuhi, mchana mpaka muda wa kutoka simu hazipokelewi. Hizo simu huwa zinawekwa wapi?
Unaweza kuwa upo Arusha unashida wizara fulani ni lazima uende ofisini au umuagize mtu aende ofisini au kama kuna mtu unamfahamu pale ndio umpigie simu yake ya mkononi. Ukituma email ndio sahau kabisa, hujibiwi milele. Wenzetu private ukipiga ikiita sana mara mbili na email zinajibiwa ndani ya masaa 24.
Kwa mnaofanya kazi ofisi za serikali mtusaidie, huko wenzetu huwa mnakataliwa kupokea simu za wananchi mnaowahudumia au ni kiburi tu.?