peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,797
- 21,392
Ninaandika mada hii kwa masikitiko makubwa sana,ofisi za umma,mashirika ya umma na taasisi zake tanzania hazitumia simu za land line ili kuwahudumia wananchi.
Matokeo yake viongozi,watendaji wa serikali wanatembea na ofisi zao mifukoni mwao. Wawekezaji wanatafuta simu za maofisi wakiwa nje ya nchi wanapiga hadi wanakata tamaa.
Mfano. Simu za wizara ya mambo ya nje, haijulikani upige za ofisi dodoma au dar ? Ukizipiga zinaita siku Zima hakuna majibu.
Mf. Haijulikani simu ya ofisini ya Prof. Kitila Mkumbo na haipatikani Hadi mwekekezaji atafute simu ya wazirinya mkononi na sio rahisi kuipata na wakati huo huo waziri Huyo anaye secretary na Yuko ofisini anachst tu na mshahara analipwa.
Mifano ni mingi.
Matokeo yake viongozi,watendaji wa serikali wanatembea na ofisi zao mifukoni mwao. Wawekezaji wanatafuta simu za maofisi wakiwa nje ya nchi wanapiga hadi wanakata tamaa.
Mfano. Simu za wizara ya mambo ya nje, haijulikani upige za ofisi dodoma au dar ? Ukizipiga zinaita siku Zima hakuna majibu.
Mf. Haijulikani simu ya ofisini ya Prof. Kitila Mkumbo na haipatikani Hadi mwekekezaji atafute simu ya wazirinya mkononi na sio rahisi kuipata na wakati huo huo waziri Huyo anaye secretary na Yuko ofisini anachst tu na mshahara analipwa.
Mifano ni mingi.