Ada Estate Kinondoni...unaingilia mataa ya Exim Bank(?) kama unatoka Posta via Ally Hasan Mwinyi Road...around Ubalozi wa India...ile mitaa ambayo Mwana Halisi ilituambia vijana waliitumia kuchakachua matokeo ya Urais 2010
Yeah, kama unatokea posta kuelekea mwenge itakuwa ni mkono wako wa kulia. Kuna vibao vyao pale vinaelekeza ila uelewe kwamba utaingia ndani ndani kidogo kutoka barabarani