Ofisi za HESLB ziko wapi?

Ofisi za HESLB ziko wapi?

Joined
Nov 23, 2011
Posts
34
Reaction score
2
Wanajamvi heshima kwenu.

Nia ya kuanzisha thread yangu ni kutaka kujua zilipo ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi. Ninalo tatizo nyeti ambalo utatuzi wake ni kupata ufafanuzi kutoka kwao, Nashukuru kwa kusoma thread hii na natumaini msaada wenu.

Asante.
 
wanajamvi heshima kwenu.

Nia ya kuanzisha thread yangu ni kutaka kujua zilipo ofisi za bodi ya mikopo ya wanafunzi. Ninalo tatizo nyeti ambalo utatuzi wake ni kupata ufafanuzi kutoka kwao, nashukuru kwa kusoma thread hii na natumaini msaada wenu.

Asante.

ziko mwenge nyuma ya maduka ya vinyago utaona gorofa jipyaaa la vioo
 
Wanajamvi heshima kwenu.

Nia ya kuanzisha thread yangu ni kutaka kujua zilipo ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi. Ninalo tatizo nyeti ambalo utatuzi wake ni kupata ufafanuzi kutoka kwao, Nashukuru kwa kusoma thread hii na natumaini msaada wenu.

Asante.

Jaman kama hukutaka kumjibu ungracha tu sio vizuri, mwaego ofisi zao sipo msasani mwisho unapanda magari ya msasani unashuka macho then unatembea mbele kidogo hatua chache au omba msaada watakushusha palepale.
 
Watanzania tubadilike jamani,hivi ni kweli mtu unaweza kuingia JF kuanzisha mada kama hii wakati bodi wana website na mpaka leo tangazo lao la kuelekeza mahali ofisi yao ilipo ikiwa ni pamoja na picha yake?.Tujishughulishe kidogo ingekuwa umeitwa kwenye usahili wa kazi ungeyafanya haya?
 
Jaman kama hukutaka kumjibu ungracha tu sio vizuri, mwaego ofisi zao sipo msasani mwisho unapanda magari ya msasani unashuka macho then unatembea mbele kidogo hatua chache au omba msaada watakushusha palepale.

sio kweli ww ndo hutaki kumsaidia ofisi za heslb ziko mwenge nyuma ya maduka ya vinyago kuna ghorofa mpya ya vioo msasani walihamisha kitambo tu,na mm nmeenda hapo ofis zao mpya nikasaidiwa vizuri tu
 
Wanajamvi nashukuru kwa mchango wenu, nitajaribu kupatafuta hapo vinyago. Asanteni sana.
 
Look at the birds,they dont sow or reap or store away in the barns and yet god feeds them,are you not much more valuable than them?
 
Watanzania tubadilike jamani,hivi ni kweli mtu unaweza kuingia JF kuanzisha mada kama hii wakati bodi wana website na mpaka leo tangazo lao la kuelekeza mahali ofisi yao ilipo ikiwa ni pamoja na picha yake?.Tujishughulishe kidogo ingekuwa umeitwa kwenye usahili wa kazi ungeyafanya haya?

Mkuu kizazi cha sasa hivi ni majanga! Hopeless kabisa yaani hawataki kushughulisha ubongo! Juzi niko benki kijana akaulizwa hii akaunti yako ulifungulia tawi gani hapo Mwanza? Eti likasema sikumbuki, nilitamani nilitie makofi ya kikubwa! Kizazi hiki kimeoza ni mwisho!
 
Ndugu wanajamvi, napenda kuwajulisha kuwa nilifanikiwa, nilienda pale Mwenge na kukutana na wahusika na shida yangu kutatuliwa. Hivyo wote waliokuwa wakitatizwa kwamba ofisi zipo Mwenge au Msasani mtakua mmefaidika na uzi huu.
Shukrani kwenu nyote.
 
Nenda maeneo ya mwenge, ukiwa rd ya sam nujoma utaona jengo (gorofa) lao... Ukiwa unatokea ubungo jengo lao lipo mkono wa kulia...
 
salaam,
naomba kujuzwa ofisi za loan board zipo maeneo gani.
Asante

Ukitokea Ubungo kwenda Mwenge kwa njia ya Sam Nujoma shukia kituo kinaitwa Mpakani, vuka upande wa pili kuelekea vibanda vya vinyago, wakati ukivuka main road ukitizama upande huo unaoelekea utaona gorofa refu la L-Shape limeandikwa HESLB, pandisha juu kumaliza vibanda vya vinyago, pita kituo kidogo cha daladala kisha kunja kushoto hapo kwa mafundi seremala, basi mdogo mdogo unaingia ofisini.
 
Ukipanda gari ka unatokea ubungo shuka mpakani utaliona jengo lao. Bt ata ukiulix m2 anakwambia 2 paleeeeeee
 
Kutokea mwenge..ukiwa sam nujoma road kuelekea ubungo.upande wa kushoto(meter 200-400 ivi kutoka mwenge)
 
Back
Top Bottom