Salaam,
Naomba kujuzwa ofisi za loan board zipo maeneo gani.
Asante
we una shda gan kule? isiwe ume2mwa na waliokosa mkopo ukajitoe mhanga, mana nyie vijana sa iv mna mapresha ya ajab. ms2mwagie unga
Salaam,
Naomba kujuzwa ofisi za loan board zipo maeneo gani.
Asante
wakuu naomba mnisaidie kunielekeza jins ya kufika bodi ya mikopo ya wanafunz wa elimu ya juu kutokea ubungo
Shuka kituo kinaitwa mpakani then utavuka barabara upande wa pili jengo utaliona tu au ukiulizia mtu yoyote atakuonyesha
ahsante mkuu.. ila sijaelewa nikitokea ubungo nipande gari inayoenda wapi?
Makumbusho
Alafu weee deere??Nyook moja kwa moja usikate kona kulia wala kushoto, haya nipe buku jero yangu.
wakuu naomba mnisaidie kunielekeza jins ya kufika bodi ya mikopo ya wanafunz wa elimu ya juu kutokea ubungo
Ukipanda yanayokwenda kawe utashukia maisha alafu unachana mbuga kwa miguu mkono wako WA kulia hadi ukutane na barabara ya kwenda msasani utapita mgahawa WA wachina hadi sehem jengo LA Tirdo au pitia shekilango hadi ubalozi WA marekani uliza
Msasani kwenye jengo LA Tirdo kama haijaama hapo maana ni kama miaka 8 toka niudumiwe na hiyo ofisi panda magari yanayoenda kawe au msasani
Ukipanda yanayokwenda kawe utashukia maisha alafu unachana mbuga kwa miguu mkono wako WA kulia hadi ukutane na barabara ya kwenda msasani utapita mgahawa WA wachina hadi sehem jengo LA Tirdo au pitia shekilango hadi ubalozi WA marekani uliza