Ofisi za Halmashauri ya Kibondo, zateketea kwa moto

Ofisi za Halmashauri ya Kibondo, zateketea kwa moto

WILLAFRICA

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
4,027
Reaction score
933
Wakuu sana habari zenu!

Ni tukio lililotokea usiku wa kuamkia leo ambapo ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo zimeteketea kwa moto ambao haujajulukana chanzo ni kipi hadi sasa.

Kama kuna updates zitaletwa zaidi tuendelee kusubiri.

attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
... Poleni Sana, Ila Zingeungua Za Magamba Ningefurahi
 
wakuu sana habari zenu!

Ni tukio lililotokea usiku wa kuamkia leo ambapo ofisi za halmashauri ya wilaya ya kibondo zimeteketea kwa moto ambao haujajulukana chanzo ni kipi hadi sasa.

Kama kuna updates zitaletwa zaidi tuendelee kusubiri .

picha hizi!
 

Attachments

  • IMG-20150717-WA0005.jpg
    IMG-20150717-WA0005.jpg
    64.1 KB · Views: 304
Taarifa isiyo rasmi liyopo inasema kuwa kulikuwa na ukaguzi umefanyika kabla.
-ngoja lifanyiwe kazi mtaletewa hapahapa!
 
Back
Top Bottom