Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Ofisi ya Taifa ya Takwimu(TBS) imeitaka Kampuni ya Geopoll yenye ofisi zake za Ukanda wa Afrika Mashariki, Nairobi nchini Kenya imewataka kufuata taratibu zilizoainishwa kwa mujibu wa sheria ya Takwimu.