Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Msajili kafanya hayo maamuzi chini ya kifungu gani cha Sheria kinachompa Mamlaka ya kufanya hayo?Katie Mkuu wa Chadema John Mnyika ni Accounting officer, fedha haitoki Benki bila saini yake. Nashauri Mabenki yote nchi nzima yataarifiwe uwepo wa Amri halali ya Msajili wa Yyama vya Siasa.
Majaribio ya Mnyika kufanya miamala kwa niaba ya chama yazuiwe, fedha ya chama ibaki salama kwenye akaunti
Au kuna Mahakama iliyotamka Mnyika sio Katibu Mkuu wa Chadema?
Kweli CCM mmechanganyikiwa. Mwaka huu lazima mvae bukta kichwani.