Ofisi ya mpiga chapa mkuu wa serikali

Ofisi ya mpiga chapa mkuu wa serikali

Mwanakulitafuta

Senior Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
144
Reaction score
277
Habari ndugu zangu, ninaomba kuuliza ,ofisi ya mpiga chapa mkuu wa serikali nimeambiwa ipo Dar na Dodoma.Kwa upande wa Dar ipo maeneo gani tafadhali? Nitashukuru kwa majibu yenu.
 
Ukifika pale Mkuki house ukiulizia maeneo yale utapata majibu
 
Nashukuru kiongozi,hapa nipo Mbezi ya kimara make nimetoka mkoani.Kwahyo naelekea sehemu gani
Panda basi shuka Magomeni, hapo panda la Mbagala shuka hapo Mataa ya Veta, hapo mdogo mdogo kama unaenda Kariakoo kulia kwako!...Uliza utaelekezwa.
 
Nashukuru kiongozi,hapa nipo Mbezi ya kimara make nimetoka mkoani.Kwahyo naelekea sehemu gani
Panda Mwendokasi hadi Gerezani, halafu panda mabasi ya Buza, Temeke ushuke ilipokuwa Maliasili. Ni jirani kabisa na daraja la flyover la kwenda Veta.
 
Kwa Dar Kituo Kinaitwa Darajani Ilipo Wizara Ya Maliasili
Pia MSD Maana Barabara Ya Kuingia Hapo Ni Moja
Dodoma Ofisi Zao Zipo Soko La Saba Saba Jirani Na Mlango Wa Kuingia
Pia Siyo Mbali Na Chuo Cha IFM
 
Habari ndugu zangu, ninaomba kuuliza ,ofisi ya mpiga chapa mkuu wa serikali nimeambiwa ipo Dar na Dodoma.Kwa upande wa Dar ipo maeneo gani tafadhali? Nitashukuru kwa majibu yenu.
Unataka kufanya nn
 
Back
Top Bottom