Ofisi ya KUPANGA inahitajika haraka.

Ofisi ya KUPANGA inahitajika haraka.

pokrei

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
510
Reaction score
454
Habari ndugu zangu.
.
Kwa kuwa Hapa JF ni uwanja mpana.wa Watu wengi Na wa kutoka sehemu mbali mbali natumaini Hitaji langu litapata ufumbuzi.
Kama kuna Dalali au MTU yoyote kwa Hapa Dar Amesikiakuna office inapangishwa basi naomba aje Pm tuelewane.
Office inayohitajika.
Iwe sehemu ya kufikika kirahisi,kuwe Na Car parking,
Ofisi iwe nzuri ambayo inajitegemea
Iwe Na Maji,choo,bafu,umeme wa uhakika.
Maeneo kati ya Bamaga,mwenge,Ubungo.
Au mahali ambapo pataonekana panafaa Na kuwawezesha wafanya kazi kufikika kirahisi kwa mana ya Centre ya mji.
Tafadhari yeyote mwenye kufahamu hata kama sio Dalali lakini either unahama ofisi kama hiyo tafadhari nijulishe Ili Tuyaongee zaidi huko Pm.
Natanguliza shukrani ya dhati.
 
Habari ndugu zangu.
.
Kwa kuwa Hapa JF ni uwanja mpana.wa Watu wengi Na wa kutoka sehemu mbali mbali natumaini Hitaji langu litapata ufumbuzi.
Kama kuna Dalali au MTU yoyote kwa Hapa Dar Amesikiakuna office inapangishwa basi naomba aje Pm tuelewane.
Office inayohitajika.
Iwe sehemu ya kufikika kirahisi,kuwe Na Car parking,
Ofisi iwe nzuri ambayo inajitegemea
Iwe Na Maji,choo,bafu,umeme wa uhakika.
Maeneo kati ya Bamaga,mwenge,Ubungo.
Au mahali ambapo pataonekana panafaa Na kuwawezesha wafanya kazi kufikika kirahisi kwa mana ya Centre ya mji.
Tafadhari yeyote mwenye kufahamu hata kama sio Dalali lakini either unahama ofisi kama hiyo tafadhari nijulishe Ili Tuyaongee zaidi huko Pm.
Natanguliza shukrani ya dhati.
Mkuu ukipata ofisi nistue tufanye biashara ya ferniture za ofisini kwa bei chee na uhakika .
 
Habari ndugu zangu


.
.
Kwa kuwa Hapa JF ni uwanja mpana.wa Watu wengi Na wa kutoka sehemu mbali mbali natumaini Hitaji langu litapata ufumbuzi.
Kama kuna Dalali au MTU yoyote kwa Hapa Dar Amesikiakuna office inapangishwa basi naomba aje Pm

tuelewane.
Office inayohitajika.
Iwe sehemu ya kufikika kirahisi,kuwe Na Car parking,
Ofisi iwe nzuri ambayo inajitegemea
Iwe Na Maji,choo,bafu,umeme wa uhakika.
Maeneo kati ya Bamaga,mwenge,Ubungo.
Au mahali ambapo pataonekana panafaa Na kuwawezesha wafanya kazi kufikika kirahisi kwa mana ya Centre ya mji.
Tafadhari yeyote mwenye kufahamu hata kama sio Dalali lakini either unahama ofisi kama hiyo tafadhari nijulishe Ili Tuyaongee zaidi huko Pm.
Natanguliza shukrani ya dhati.

Vipi umesha pata maana kunasehem nimeona nahis patakufaa
 
IPO ya sh.ngapi Na wapi
Naomba no.yako ya simu iwe rahisi
 
Sasa u serious gani
Si ndo hapo unipe no ya simu tuwasiliane kwa Karibu??
 
Jaribu:
A Newly Constructed Commercial Complex on Samora Avenue (CBD) next to Exim Bank - Clock Tower Branch
Starting from 20 Sqmtr - 150 Sqmtr.

AVAILABLE:
OFIFICES,
SHOPS,
2 - EVENTS / FUNCTION / CONFERENCE HALL
SERVICES PROVIDED:
VEHICLE PARKING FACILITY
BACKUP GENERATOR,
FULLY AIRCONDITIONED,
POPULAR ATM's,
LIFT
Cont: 0682 752672
Source:Kupatana
 
Mkuu ukitaka kufanyiwa partition nzuri kabisa kwa ajili ya ofisi yako nicheki PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom