Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Jan 6, 2011 #3 nyingine ya wapi.....mbona hakuna kitu
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,108 18,325 Jan 6, 2011 Thread starter #4 kakakiiza said: mkuu picha imegoma rudishia!! Click to expand... mambo yapo hewani check vizuri
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,108 18,325 Jan 6, 2011 Thread starter #5 preta said: ingine ya wapi.....mbona hakuna kitu Click to expand... nawe preta, nitakupa kadi nyekundu. Hiyo avatar hairuhusiwi uwanjani.
preta said: ingine ya wapi.....mbona hakuna kitu Click to expand... nawe preta, nitakupa kadi nyekundu. Hiyo avatar hairuhusiwi uwanjani.
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Jan 6, 2011 #6 tabutupu said: nawe preta, nitakupa kadi nyekundu. Hiyo avatar hairuhusiwi uwanjani. Click to expand... he he....aaaah wapi....nimeiona offside lakini......
tabutupu said: nawe preta, nitakupa kadi nyekundu. Hiyo avatar hairuhusiwi uwanjani. Click to expand... he he....aaaah wapi....nimeiona offside lakini......
Nipigie Senior Member Nov 2, 2010 121 7 Jan 6, 2011 #7 preta said: he he....aaaah wapi....nimeiona offside lakini...... Click to expand... sana tuu, bahati mbaya filimbi nilisahau nipo iweka. Kibendera nae alikuwa anasinzia. Lakini tutakupa kadi next match.
preta said: he he....aaaah wapi....nimeiona offside lakini...... Click to expand... sana tuu, bahati mbaya filimbi nilisahau nipo iweka. Kibendera nae alikuwa anasinzia. Lakini tutakupa kadi next match.
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Jan 6, 2011 #8 hakuna kitu nimeona nanii ya Preta tu hapa
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Jan 6, 2011 #9 Zipuwawa said: hakuna kitu nimeona nanii ya Preta tu hapa Click to expand... umeona nini?
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Dec 8, 2010 7,515 6,489 Jan 7, 2011 #11 Labda hiyo ndio "open relationship" tuliyoambiwa na Afrodenz kwenye thread fulani huko MMU
Michelle JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,621 3,514 Jan 7, 2011 #13 Kikulacho ki nguoni kwako............LOL
Mentor JF-Expert Member Oct 14, 2008 20,328 23,879 Jan 7, 2011 #14 michelle said: Kikulacho ki nguoni kwako............LOL Click to expand... Didi u mean KILIWACHO!??
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Jan 7, 2011 #15 nilikuwa sijawahi kuiangalia hii picha vizuri, leo ndio nimeiona baada ya jamaa kuzungumzia habari za bendera kuna post nimeiona leo jamaa anashindwa kujua ni kwa nini kufuli nyekundu zinampagawisha, nadhani hii picha ndio background yake kwenye computer yake
nilikuwa sijawahi kuiangalia hii picha vizuri, leo ndio nimeiona baada ya jamaa kuzungumzia habari za bendera kuna post nimeiona leo jamaa anashindwa kujua ni kwa nini kufuli nyekundu zinampagawisha, nadhani hii picha ndio background yake kwenye computer yake