Sick Sick Sick!
Haya ndio matokeo ya unafiki (hypocrisy) wa kisheria. Kwa mfano Sheria inawakataza watu wasifanye abortion wakati pre-marital ngono inaruhusiwa. What should we expect? In Thailand Abortion is illegal except in very special cases, yet it is a country known for sex tourism. Majirani zao wa Kichina, wao abortion is legal na mambo yanafanyika sehemu zinazokubalika-hospitali. Hapa kwetu TZ sijui itakuwaje tukianza kutembelea vihospitali uchwara pamoja na ma-dusbin kwenye mabweni ya wanafunzi vyuoni. Unaweza kukuta we can gather lots of fetuses. Msomaji umeshiriki kwa kiwango gani kutoa mimba! Jamani tuache ngono japo ni tamu!! Tufanye tu tukiwa na uhakika wa kutotenda dhambi hii ya kuua vichanga tumboni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.