Officially divorced

Hilo ndio jibu lake au wewe ndio hujaelewa?
Nimeeleza uwiano wa mapokeo ya kuachana kati ya mwanaume na mwanamke, sijatoa mchango au kuegemea upande wowote....ingekua hivyo hapo ndiyo comment yako ingejenga hoja
 
Nimeeleza uwiano wa mapokeo ya kuachana kati ya mwanaume na mwanamke, sijatoa mchango au kuegemea upande wowote....ingekua hivyo hapo ndiyo comment yako ingejenga hoja
Hilo jibu limekaa katikati mbona labda unachukulia personal queen kan
 
Hilo jibu limekaa katikati mbona labda unachukulia personal queen kan
Hapana mkuu sijachukulia personal maana sijawahi pitia hiyo situation, no mawazo tu....inaweza isiwe kweli pia kwa wengine
 
Utakua ulioa kwa kurupuka
Tako
Mimba
Uzuri
Vinekuzuzua na ushamba wako...
Umekutana na visivyoeleweka huko
Sasa ulitaka mtu aoe kituko aoe demu kama sanamu la michelin lazima uoe mtu ambaye unaweza hata kumpost moyo ufurahie mkishindwana mnaachana kama hiv
 
Utakua ulioa kwa kurupuka
Tako
Mimba
Uzuri
Vinekuzuzua na ushamba wako...
Umekutana na visivyoeleweka huko
Kwahiyo inabidi uoe kwa kuangalia nini hasa na kipi kiwe added advantage??
 
Ndoa yako ww. Furahia maisha bila kutaka mwingine afurahie kwa namna unavyofurahia. Kila mtu apambane na bakuli lake la maisha alilopewa na MUNGU hapa duniani kwa namna inayompendeza.
Sahihi kabisa
 
Reactions: Tsh

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…