Officially divorced

Kwa hyo baada ya kupost kuwa ulkuwa mipira ya kiume kwenye pochi ya mke wako ulkuja kugundua kuwa alikuwa anakucheat?,

Muache kabisa Tena mara mia
Mwanamke mzinifu na aachwe kabisa .
 
Upo sahihi kabisa nakubaliana na wewe ndugu yangu ndoa ni tamu ukimpata mtu sahihi
 
Ndoa yako ndio Use**** kwaiyo we ukidivorce wanaume wote wadivorce???
Mwambie huyo fa...laa

Ngoja muda upite atarudi hapa

Ukute anafurahia kuwa free kula mbunye..hajui with tym atakinai...
Atatamani kuoa tena na kuwa na familia bora

Tym will tell
 
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Hongera Brother, umepambana kihisia na kihali
 
Mwambie huyo fa...laa

Ngoja muda upite atarudi hapa

Ukute anafurahia kuwa free kula mbunye..hajui with tym atakinai...
Atatamani kuoa tena na kuwa na familia bora

Tym will tell
Sijui ya mbeleni ilq kwa idhini yangu sitamani kuona tena Hahahahaha nina furaha iliyopitiliza karibu karinyo tule bia
 
Nitaamini ndoa ni use*** kama

1. Mtu mzima nikae nae tuonane live. Mwenye mvi zake kuanzia miaka 65 maybe. Naamini wengi wao wana hekima. Huyo akiniambia na akaweka chini facts na jinsi yeye alivyosuceed maisha yake bila ndoa. Hapo nitaamini.

2. Mtu akipata kiti cha u-Rais bila kuwa na ndoa. Yani mtu apewe nafasi kubwa katika nchi ndo nitaamini.

NB: mwenye research ya owners wa makampuni, taasisi za kiserikali ambao wako single. Wafanyabiashara wakubwa wasio na ndoa pia...aweke hapa. Ili niamini kweli ndoa is a scam. Unless otherwise.. kila mtu ashike analoamini
 
Nenda afu urudi na majibu
 
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.

Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Nina uhakika hd umefika hpo sio kaz ndgo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…