Mtanza Mwenye Nia
Member
- Sep 10, 2013
- 76
- 21
Habari!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza! Inahitajika Ofisi yenye uwezo wa ku-accomodate watu 30+ na eneo la Warehouse (Godown).. Viwe sehemu moja! Mitaa pendekezi ni kuanzia Mikocheni hadi Mwenge!
Kama una taarifa yeyote, au unaweza kutuelekeza tafadhali weka namba zako za simu hapa au unaweza kuzituma kwenye ujumbe binafsi (PM) nasi tutakupigia kwa maelezo zaidi!
natanguliza shukrani zangu!
Ahsante!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza! Inahitajika Ofisi yenye uwezo wa ku-accomodate watu 30+ na eneo la Warehouse (Godown).. Viwe sehemu moja! Mitaa pendekezi ni kuanzia Mikocheni hadi Mwenge!
Kama una taarifa yeyote, au unaweza kutuelekeza tafadhali weka namba zako za simu hapa au unaweza kuzituma kwenye ujumbe binafsi (PM) nasi tutakupigia kwa maelezo zaidi!
natanguliza shukrani zangu!
Ahsante!