Office assistant/messenger anahitajika

Office assistant/messenger anahitajika

kumbe kazi wanatafutiana ndugu tu, na wote wanaopost humu hawana ndugu, na wanaoomba kazi wote ndugu zao hawajawatafutia kazi. Anyways kama itatokea mtu yupo interested anakaribishwa.
Mambo mengine ni kupotezea tu kama hujaona mkuu ili siku ipite, kuna watu waajabu kwelikweli.
 
Asanteni kwa wote mliojitokeza kuomba nafasi hii. Leo tumechukua watu 7 wa kwanza waliokuja PM na wamefanyiwa interview. Kwa sasa namsikiliza boss mwenyewe atasemaje kama bado niendelee kuleta wengine au vp, then ntawajulisha.
ila umezingua mzee kufunga account yako asa mtu atakupataje??
 
Hongera sana kwa moyo wa upendo hakika una roho ya kitajiri, hata kama leo huna nakutabiria makubwa huko mbeleni Mkuu. Ubarikiwe sana
 
Nafasi zipo na nyingine zinakuja nitatangaza kadri watu watakavyohitajika. Usiogope kuomba sio wote ni matapeli, na wala huitaji kulipia kitu chochote kuja kufanyiwa interview. Asanteni.
ikitokea nafasi ya Qs nistue mkuu tulisogeze taifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom