Ofa murua ya kazi

Natafuta kazi

Member
May 10, 2012
31
1
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.

changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
 
Jihadhari usiingie wala kuingiza wenzio kwenye mtego wa PCCB, maana dhamira yako si njema kabisa. Alafu kama unapesa kiduchu ...unatafuta kazi ya nini? Wengi wanatafuta ajira baada ya kukosa chanzo cha mapato walau kiduchu
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.

changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
 
Utaweza interview?
Manake siku hizi kuwa short listed ndo msaada. Inabidi uogelee na interview man alone.
ALl the best katika manunuzi.
 
Naona hapo mwanzoni kuna mchuano mkali kati ya Natafuta Kazi na M-Mpesa....
Natafuta Kazi anajaribu kutoa ushawishi wa fedha lakini M-Mpesa anachomoa...lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom