Odero: Hakuna kikao cha CHADEMA kilichoazimia kukataa Maridhiano

Odero: Hakuna kikao cha CHADEMA kilichoazimia kukataa Maridhiano

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Odero Charles Odero anadai kwamba hadi sasa hakuna kikao chochote rasmi kilichofanyika ndani ya chama hicho ambacho kimeazimia kwamba chama hicho hakitashiriki maridhiano yanayotarajiwa kufanyika hapa nchini siku za usoni,

Soma Pia:
Akizungumza na Jambo TV leo, Alhamisi Machi 26.2026, Odero amesema hakuna namna yoyote itakayofanikisha kutatua migogoro au sintofahamu kwenye eneo lolote lile Duniani isipokuwa kwa njia ya mazungumzo (maridhiano), hivyo CHADEMA kama taasisi ya kisiasa na kidemokrasia huwa kuna nyakati inafanya mazungumzo (maridhiano) ya ndani ili kutengeneza muafaka na umoja ndani ya chama hicho.

 
Chadema ina shida gani hadi iridhiane?
Kwanza anataka aridhiane na nani? Na ni kitu gani wanataka iridhiane?
 
Huyu naona analazimisha kila mara cdm iingie kwenye maridhiano. Aseme kwanza kilichokwamisha maridhiano ya awali ni kipi. Haya masalia ya Mbowe mbona kama yanataka kuleta za kuletwa?
 
Back
Top Bottom