OCs Wilaya ya Hai ni Jipu

OCs Wilaya ya Hai ni Jipu

Kibogoyo2018

Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6
Reaction score
0
Mkuu polisi kituo cha polisi bomangombe Hai, ana matatizo makubwa ya kiutendaji na tunamuomba IGP atusaidie kumhamisha na afanyiwe uchunguzi. Ni mpokea rushwa mkubwa,ni mbinafsi,na anaendeleza majungu ndani ya jeshi LA polisi. Yapo matukio mengi anayafanya ya kiutendaji bila viongozi wake kujua au kuwajulisha. JF imejaribu kufuatilia imegundua amekaa kituo cha Hai, kama mkuu wa kituo kwa zaidi ya miaka kumi. Tunamuomb IGP kufuatilia kilio cha wananchi was Hai. Kituo cha polisi amekifanya kama nyumbani kwake. Ili kufunguliwa jalada au kesi lazima upitie kwake na utoe kituo kidogo.polisi walioko chini take anawanyanyasa sana hata hamu ya kufsnya kazi imepungua.
 
Mkuu polisi kituo cha polisi bomangombe Hai, ana matatizo makubwa ya kiutendaji na tunamuomba IGP atusaidie kumhamisha na afanyiwe uchunguzi. Ni mpokea rushwa mkubwa,ni mbinafsi,na anaendeleza majungu ndani ya jeshi LA polisi. Yapo matukio mengi anayafanya ya kiutendaji bila viongozi wake kujua au kuwajulisha. JF imejaribu kufuatilia imegundua amekaa kituo cha Hai, kama mkuu wa kituo kwa zaidi ya miaka kumi. Tunamuomb IGP kufuatilia kilio cha wananchi was Hai. Kituo cha polisi amekifanya kama nyumbani kwake. Ili kufunguliwa jalada au kesi lazima upitie kwake na utoe kituo kidogo.polisi walioko chini take anawanyanyasa sana hata hamu ya kufsnya kazi imepungua.
Anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom