OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

WABHEJASANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
4,225
Reaction score
869
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.
=========================


UPDATES

Kamanda wa polisi amethibitisha kuwepo kwa tukio hilo na kwamba Askari huyo anashikiliwa na polisi katika kituo kikuu cha Geita kwa mahojiano zaidi nantayari amefunguliwa jalada na anaendelea na mashitaka ya kijeshi.

Kwa taarifa zaidi, soma=> Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) akamatwa kwa ‘kumbaka' mwanafunzi
 
Kweli polisi hawana ushirikiano.
Wangekua wanajeshi,sipati picha..hao wanakijiji wangeimba haleluya.
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.
 
Nakubaliana na wewe hapo... labda hawa kina mama wazee wa FEMACT wana wivu.. kuwa hawawezi kutembea wakionesha 'goodies' kama hao vimwana...kwa ndani wanatamani wangepata bahati ya kucheza namna hiyo..

masukum majungu sana ndio maana hayaendelei kimaendeleo kazi majungu na uchawi na huyu mleta mada msukuma sishangai
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

zamani kidogo nilipokuwa naona fulani kabaka basi najua imekuwa taflani kumbe ni upuuzi wa kijinga ..kubaka na kufanya mapenzi ni tofauti sana kama mbingu na ardhi
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

Unaota wewe
 
Huyo Mwanafunzi ni kiherehere chake mwenyewe....sio maneno yangu haya ni ya Mkulu fulani hivi
 
zamani kidogo nilipokuwa naona fulani kabaka basi najua imekuwa taflani kumbe ni upuuzi wa kijinga ..kubaka na kufanya mapenzi ni tofauti sana kama mbingu na ardhi

hahaha you made my day
 
Back
Top Bottom