Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Kuna habari ambayo nimeisoma na kunisikitisha sana. Inaonekana kuna wamarekani baadhi bado hawajaamini kuwa Rais Barack Hussein Obama ndiye alishinda uchaguzi Mkuu nchini humo November 4th, 2008. Kuna matukio mengi yame kuwa yakitokea kuashiria kuwa hawajakubali kuwa Obama ndiye Rais wao kisheria.
Hebu angalia huu mkasa ambao askari polisi aliamua kutumia computer iliyoko kwenye gari la polisi mjini Philadelphia kuangalia Background check ya Rais Obama.
Soma zaidi hapa chini .....
PHILADELPHIA Philadelphia's police department is investigating why an officer used his police car's computer to run a criminal background check on President Barack Obama.
Police Commissioner Charles Ramsey said Friday the officer could face discipline for performing the check Wednesday morning. The Secret Service alerted the department after it learned about the incident from National Crime Information Center.
Ramsey says he wants to know what the officer has to say for himself. Police didn't release the officer's name, but he remains on duty.
Two Atlanta-area police officers are accused of a similar unauthorized background check on the president July 20. DeKalb County officers Ryan White and C.M. Route were placed on paid administrative leave.
Source; AP
Ukijaribu kuangalia utaona kuwa si polisi mmoja tu ambaye amewahi kufanya hivi. Jee huu si ubaguzi wa rangi ukizangatia kuwa hao polisi hawakuwa na mamlaka ya ku-access info za mkuu wa nchi hiyo.
Toa maoni yako
Hebu angalia huu mkasa ambao askari polisi aliamua kutumia computer iliyoko kwenye gari la polisi mjini Philadelphia kuangalia Background check ya Rais Obama.
Soma zaidi hapa chini .....
PHILADELPHIA Philadelphia's police department is investigating why an officer used his police car's computer to run a criminal background check on President Barack Obama.
Police Commissioner Charles Ramsey said Friday the officer could face discipline for performing the check Wednesday morning. The Secret Service alerted the department after it learned about the incident from National Crime Information Center.
Ramsey says he wants to know what the officer has to say for himself. Police didn't release the officer's name, but he remains on duty.
Two Atlanta-area police officers are accused of a similar unauthorized background check on the president July 20. DeKalb County officers Ryan White and C.M. Route were placed on paid administrative leave.
Source; AP
Ukijaribu kuangalia utaona kuwa si polisi mmoja tu ambaye amewahi kufanya hivi. Jee huu si ubaguzi wa rangi ukizangatia kuwa hao polisi hawakuwa na mamlaka ya ku-access info za mkuu wa nchi hiyo.
Toa maoni yako