Mzee wenu katoka chicha; mshukuruni Mungu kwa kuwapa mbuga ya serengeti iliyomuwezesha kuiuza kwa mwarabu mpaka akapata suti tano za savile Row anazoshobokea nazo!!
Umeona eeee!! Kweli aisee, alaf iweje anyooshe yeye peke yake tu?? ****** kwa kuiga vya kidhungu lazima na yeye angenyoosha kama angemuona Obama kanyoosha.
Umeona eeee!! Kweli aisee, alaf iweje anyooshe yeye peke yake tu?? ****** kwa kuiga vya kidhungu lazima na yeye angenyoosha kama angemuona Obama kanyoosha.
Mh! Jamani kuandika M...k...w...e...r...e hapa jf imekua nongwa?? Naona hapo juu nimeandika imetokea ******, kama hairuhusiwi tuhabarishane tusije pigwa BAN wakati bado twaipenda jf.